round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Kuelekea mapinduzi ya Teknolojia, mambo mengi nchini yameanza kufanyika kwa kutumia NIDA.
Kwenye mifumo ya kusajili biashara, kuomba ajira, kuomba mikopo, kujisajili huduma za kiserikali mtandaoni, n.k. huwa unajaza Nida halafu baada ya hapo unaulizwa maswali matatu ya uhakiki mfano jina la mama, sehemu uliyozaliwa, shule uliyosoma, n.k.
Kuna shida imeanza ya baadhi ya taasisi kukupa karatasi ujaze taarifa zako nyeti za NIDA, hii ni hatari sana,
Mfano kuna benki flani kubwa tu, kuna baadhi ya shida ukiwa nazo wanakwambia ujaze hii fomu ya uhakiki wa utambulisho
Nilivyopewa hii fomu nilishangaa sana,
SIKUJAZA HATA SWALI MOJA
Baada ya kuzozana bila mafanikio nikajiapiza sijazi chochote ni bora nifungue account mpya tu ntahamishia fedha zote account mpya, nilipoenda tawi lingine nao walihitaji lakini walikuwa waelewa nikahudumiwa
Uhshauri wangu kuhakiki taarifa za NIDA vitumike vidole tu, kama kuna haja ya taarifa za ziada mteja aziiingize mwenye kwa usiri
Kwenye mifumo ya kusajili biashara, kuomba ajira, kuomba mikopo, kujisajili huduma za kiserikali mtandaoni, n.k. huwa unajaza Nida halafu baada ya hapo unaulizwa maswali matatu ya uhakiki mfano jina la mama, sehemu uliyozaliwa, shule uliyosoma, n.k.
Kuna shida imeanza ya baadhi ya taasisi kukupa karatasi ujaze taarifa zako nyeti za NIDA, hii ni hatari sana,
Mfano kuna benki flani kubwa tu, kuna baadhi ya shida ukiwa nazo wanakwambia ujaze hii fomu ya uhakiki wa utambulisho
Nilivyopewa hii fomu nilishangaa sana,
- wakati nafungua account walishanihakiki nilipowapa nida namba na kuweka alama za vidole na kunipiga picha, kwanini nijaze taarifa nyeti za NIDA kwenye karatasi nje ya mfumo wa NIDA ?
- Sheria gani inawapa nguvu hii ?
- iweje nihakiki taarifa zangu za NIDA kwenye fomu badala ya kutumia alama za vidole ?
- kuna hatua zipi za kulinda karatasi, kwamba linazagaa zagaa tu kama rough paper ?
- kwanini fomu haina maelezo ya uwajibikaji wa taarifa ?
SIKUJAZA HATA SWALI MOJA
Baada ya kuzozana bila mafanikio nikajiapiza sijazi chochote ni bora nifungue account mpya tu ntahamishia fedha zote account mpya, nilipoenda tawi lingine nao walihitaji lakini walikuwa waelewa nikahudumiwa
Uhshauri wangu kuhakiki taarifa za NIDA vitumike vidole tu, kama kuna haja ya taarifa za ziada mteja aziiingize mwenye kwa usiri