Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Passport unazungushwa tu ili uliwe urefu wa kamba.Hujafika uhamiaji wewe?
Kupata passport utasota
Nssf
Nida
Hizo sijawahi fika ndo maana mwishoni nimekuambia ongezea zingineHujafika uhamiaji wewe?
Kupata passport utasota
Nssf
Nida
Afande Chaaaacha.... Mi siongezei lakini hapo jiongezeππHizo sijawahi fika ndo maana mwishoni nimekuambia ongezea zingine
Mwafrika na rushwa ni tako na chupiKwenye NIDA Umepatia ,mm nilizungushwa miezi miwili namba ya NIDA, ofisi za wilaya fulani hivi,kumbe wanataka urefu wa kamba kweli nilivyotoa pesa nikapata NIDA siku hiyo hiyo
Sasa nikuchekeshe kitu,b4 sijaingia ofisi za NIDA nilitokea ofisi za RITA ili nipate cheti cha kuzaliwq,na kwenyew nilizungushwa sijapata kuona siku 5 mara naambiwa mtandao mara nini, sasa hiyo siku nipo ofis za rita akaja mzee fulani anafatilia cheti cha binti ake basi nikaona anatoa 40k alafu anaambiwa mzee jion njoo uchukue,kwa hasira mm nika rekod tukio zima jins walivyopeana hela ,wew nilipewa chet pale pale,Mwafrika na rushwa ni tako na chupi
Hahahaha geshi la polis tunalikumbuka barabara kabsa,kwa rushwa hao wana mbingu yaoKweli geshi la polishi mmelisahau?
LATRAZa asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
3.Barabara patamu asikuambie mtu.....nilipokuwa kijana nilibahatika kuendesha tipper....kila siku nilikuwa napiga kidebe,,,,sasa ujana starehe zilikuwa nyingi sana.....lakini angalau mama yangu nilimjengea mabanda ya kuku na kiti moto yaani yule mbuzi mkatoliki... π π π π π πππZa asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Hukupiga cement kwa maana madereva kwa kuiba ni hatari3.Barabara patamu asikuambie mtu.....nilipokuwa kijana nilibahatika kuendesha tipper....kila siku nilikuwa napiga kidebe,,,,sasa ujana starehe zilikuwa nyingi sana.....lakini angalau mama yangu nilimjengea mabanda ya kuku na kiti moto yaani yule mbuzi mkatoliki... π π π π π πππ
Pakoje hukoTFDA enzi hizo, aloo nchii inaliwa na wachache hiii...ndio mana kila anaepata nafasi nae lazima abutue vya kutoshaa
Mmmh mkuu passport shida seriously au unatania tuuHujafika uhamiaji wewe?
Kupata passport utasota
Nssf
Nida
Umeelewa mada lakini?TCAA
EWURA
IKULU.