Taasisi zinazokula kwa urefu wa kamba zao

Taasisi zinazokula kwa urefu wa kamba zao

Kwenye NIDA Umepatia ,mm nilizungushwa miezi miwili namba ya NIDA, ofisi za wilaya fulani hivi,kumbe wanataka urefu wa kamba kweli nilivyotoa pesa nikapata NIDA siku hiyo hiyo
Hahahahaaa.

Niliwahi lipia hela niliyoambiwa ni ya BANDO (MB) kwenye Halmashauri ili nipatiwe Cheti cha Kuzaliwa cha Mtoto.

Yaani Internet ya Ofisi ipo lakini nikaambiwa hivyo, nikasema isiwe shida ngoja nitoe tu maana kuzungushwa ndio sikutaka
 
Sasa nikuchekeshe kitu,b4 sijaingia ofisi za NIDA nilitokea ofisi za RITA ili nipate cheti cha kuzaliwq,na kwenyew nilizungushwa sijapata kuona siku 5 mara naambiwa mtandao mara nini, sasa hiyo siku nipo ofis za rita akaja mzee fulani anafatilia cheti cha binti ake basi nikaona anatoa 40k alafu anaambiwa mzee jion njoo uchukue,kwa hasira mm nika rekod tukio zima jins walivyopeana hela ,wew nilipewa chet pale pale,
Hahahahaa.

Uliwaambia kuwa umerekodi au walikuona unarekodi ndipo wakakuhudumia
 
KItengo mkuu ila kuna wakati nilibeba Cement za foreman wangu....alikuwa ni mtu wa Iringa,,,,,Siku nyingine tukabeba nondo hizi zilikuwa za mpare mmoja alikuwa store.....tukaenda kuzishusha pahala karibia na daraja...kumbe wananzengo wanatuona wakamuambia mwenyekiti wa kijiji ......ghafla asubuhi tunaona polisi wanaleta minondo ofisini,,,kwa kifupi project manager alikana sio nondo za kampuni(alikuwa ni mzungu)....baadae polisi wakaondoka nazo wakaenda kuziuza,,,,,week end tukakutana nao viwanja tukaendelea kununuliana bia kimya kimya......HAKIKA HAKUNA NCHI NZURI KAMA TANZANIA.....muhimu kitengo tu...
Huyo Project Manager hakushtuka afanye ukaguzi wa mali?

Shukuruni kwa huo msimamo wa PM, lasivyo mngekaangwa
 
Usifanye mchezo
Yuko mwingine ana nyumba mpaka nyingine anazisahau....
KUna siku tulishapewa dili mnaingia ndani ya moja ya nyumba mnahesabu dola na kuzi sort....za zamani mnatoa mnaweka mpya ni kazi ilituchukua mwezi na zaidi asubuhi mpaka jioni.....NAYE NI WA TRA.....ila alitupoza vizuri....ndio maana Mungu anamlinda mpaka leo yupo .........KAMBA YAKE BADO IMARA ANAKULA........na kuna mtandao watu wakitaka kusafiri yeye ndie anawauzia dola na rate zake nzuri.......yaani ana roho nzuri sana .......unajua roho mbaya zinaletwa na umasikini......
Huyo alikuwa nazo za kutosha
 
Huyo Project Manager hakushtuka afanye ukaguzi wa mali?

Shukuruni kwa huo msimamo wa PM, lasivyo mngekaangwa
Project Manager mwenyewe alikuwa ni Mbabu lakini muhuni tu,,,,,wahuni walimtafutia toto la kiarabu likawa linampoza.....KImsingi Project Manager alijua nondo ni za kwake lakini alikuwa na sababu za kuwakataa POLISI kwa sababu zilizo wazi kabisa,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom