Hahahahaaa.Kwenye NIDA Umepatia ,mm nilizungushwa miezi miwili namba ya NIDA, ofisi za wilaya fulani hivi,kumbe wanataka urefu wa kamba kweli nilivyotoa pesa nikapata NIDA siku hiyo hiyo
Hahahahaa.Sasa nikuchekeshe kitu,b4 sijaingia ofisi za NIDA nilitokea ofisi za RITA ili nipate cheti cha kuzaliwq,na kwenyew nilizungushwa sijapata kuona siku 5 mara naambiwa mtandao mara nini, sasa hiyo siku nipo ofis za rita akaja mzee fulani anafatilia cheti cha binti ake basi nikaona anatoa 40k alafu anaambiwa mzee jion njoo uchukue,kwa hasira mm nika rekod tukio zima jins walivyopeana hela ,wew nilipewa chet pale pale,
Ilikuwaje, maelezo kidogo basi..TFDA enzi hizo, aloo nchii inaliwa na wachache hiii...ndio mana kila anaepata nafasi nae lazima abutue vya kutoshaa
Huyo Project Manager hakushtuka afanye ukaguzi wa mali?KItengo mkuu ila kuna wakati nilibeba Cement za foreman wangu....alikuwa ni mtu wa Iringa,,,,,Siku nyingine tukabeba nondo hizi zilikuwa za mpare mmoja alikuwa store.....tukaenda kuzishusha pahala karibia na daraja...kumbe wananzengo wanatuona wakamuambia mwenyekiti wa kijiji ......ghafla asubuhi tunaona polisi wanaleta minondo ofisini,,,kwa kifupi project manager alikana sio nondo za kampuni(alikuwa ni mzungu)....baadae polisi wakaondoka nazo wakaenda kuziuza,,,,,week end tukakutana nao viwanja tukaendelea kununuliana bia kimya kimya......HAKIKA HAKUNA NCHI NZURI KAMA TANZANIA.....muhimu kitengo tu...
Hela kubwa unabebekajeHalmashauri ndiyo wanaumia zaidi. Wizarani dili za billions hamzinguliwe, iba million 4,6,10, 20 ndiyo utaona ukubwa wa mahakama.
Kipindi hili mashkaji kibao wa halmashauri wamedakwa na asilimia 80% wamepiga chini ya billion.
Chini ya billion haubebeki.
Amina,Wana mbingu yao...tusiwahusishe hapa.Hahahaha geshi la polis tunalikumbuka barabara kabsa,kwa rushwa hao wana mbingu yao
12.DawasaMimi naona;
1.TRA
2.TRA
3.TRA
4.TRA
5.TRA
6.MAHAKAMA
7.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
8.TBS
9.MALIASILI
10.HOSPITAL
11.HALMASHAURI & MANISPAA
Yuko mtu mzima mwenzangu wakamwambia yeye sio MTZ ati wanataka cheti cha babu na bibi yake huyo ni mtu wa miaka zaidi ya sitini sasa babu yake?????........................hawa jamaa ni zaidi ya wachawi.........Wafanyakazi wa Umma hawapati shida ila raia wengine lazima pachimbike
Wana KAMBA YAO vimichango michango vya mitihani na mambo mengine.......pia kuuza vitafunwa barafu n.k.Mkipanga woooote,walimu wekeni chini wawe wa mwisho,pengine wasiwepo kabisa.
Huyo alikuwa nazo za kutoshaUsifanye mchezo
Yuko mwingine ana nyumba mpaka nyingine anazisahau....
KUna siku tulishapewa dili mnaingia ndani ya moja ya nyumba mnahesabu dola na kuzi sort....za zamani mnatoa mnaweka mpya ni kazi ilituchukua mwezi na zaidi asubuhi mpaka jioni.....NAYE NI WA TRA.....ila alitupoza vizuri....ndio maana Mungu anamlinda mpaka leo yupo .........KAMBA YAKE BADO IMARA ANAKULA........na kuna mtandao watu wakitaka kusafiri yeye ndie anawauzia dola na rate zake nzuri.......yaani ana roho nzuri sana .......unajua roho mbaya zinaletwa na umasikini......
Hayo maneno ya kujifarijiSiku akifa waliobaki wanazichezea huku yeye huko anakula kichapo cha mbwa koko.....
SIKU ZA MWISHO ZINAKUWA NGUMU SANA!
Walimu ni kazi ya kimasikiniMkipanga woooote,walimu wekeni chini wawe wa mwisho,pengine wasiwepo kabisa.
Hivi uwa wanapewa hata pesa ya likizo?Wana KAMBA YAO vimichango michango vya mitihani na mambo mengine.......pia kuuza vitafunwa barafu n.k.
Project Manager mwenyewe alikuwa ni Mbabu lakini muhuni tu,,,,,wahuni walimtafutia toto la kiarabu likawa linampoza.....KImsingi Project Manager alijua nondo ni za kwake lakini alikuwa na sababu za kuwakataa POLISI kwa sababu zilizo wazi kabisa,,,,,,,,,,,,,,,,,Huyo Project Manager hakushtuka afanye ukaguzi wa mali?
Shukuruni kwa huo msimamo wa PM, lasivyo mngekaangwa