Taazia: Ibrahim Ajib afiwa na mkewe

Sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea.
 
Mungu amrehemu marehemu na amtie nguvu mumewe
 
Mbwa weeeeee..... Nakuhakikishia utakufa kwa ngoma wewe mkuu
Mara uniite mbwa mara mkuu.... mbonq huelewek!!? Mbwa kwako ni mkuu!!? Wewe utakuwaje sasa kama mbwa ni mkuu wako!? Wewe mtoa povu ndo utakufa kwa ngoma.
 
Mwenyezi Mungu ampe wepesi wa kuhimili msiba. Pole sana Ajibu
 
Daaaaaah, ngumu sana maishan ukitokewa na hii kitu, nampa pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…