Taazia: Ibrahim Ajib afiwa na mkewe

Taazia: Ibrahim Ajib afiwa na mkewe

images(1).jpg
 
pole sana mchezaji wetu... Mungu akutie nguvu
 
MSIba mzito mungu ampe wepesi kwenye kipindi hiki kigumi
 
Pole sana Ajib! Huu mwezi kweli ni balaa. Mungu akutie nguvu.
 
Pole sn Ajibu. Mungu akupe uvumulivu mkubwa ktk kpnd hk kgumu kwako. Tupo pamoja nawe.
 
Nikiwa kama shabiki wa Yanga Nakupa pole Ndugu yangu...MUNGU akupe nguvu na busara na utulivu katika kipindi hichi ambacho ni kigumu na cha uchungu mwingi...tuko pamoja na ww na uwe na Imani siku zote MUNGU Yupo na atakubariki na kukuongezea pale palipopungua
 
Daah! Pole sana kwa ndg yetu Ajib kwa wakati mgumu anaoupitia..Mungu ampe nguvu... R.I.P ..shemela
 
Pole sana mkuu Ajibu ,
hata kama ni mtani wangu wa jadi .
View attachment 506018
Picha ni Ibrahim Ajibu akiwa anaubusu Mpira ikiwa ni ishara ya kupata mtoto. ilikuwa mechi dhidi ya Ruvu shooting Raundi ya kwanza September 07 ambapo Simba walishinda Kwa mabao 2-1 mabao ya Ibrahim Ajibu na Laudit Mavugo . Baadae Mtoto wa Ajibu alifariki . Leo tena Simba imeshinda mabao 2-1 ajibu tena amefunga yule Mama wa yule Mtoto naye Amefariki Jana. R. I.
 
Back
Top Bottom