Tabata Dar es Salaam: Nani ametoa Kibali cha Vituo 3 vya Mafuta kujengwa ndani ya eneo la Makazi tena chini ya umbali unaotakiwa?

Tabata Dar es Salaam: Nani ametoa Kibali cha Vituo 3 vya Mafuta kujengwa ndani ya eneo la Makazi tena chini ya umbali unaotakiwa?

Mkuu fanyeni push back,mama wa vichenji alikomaa na RC mpaka kile kituo kikaondolewa, nanyi pia fanyeni push back sio kulalama humu, angalia pale Mafinga, ukitokea Sao Hill hadi Kinanyambo roughly 10km, kuna vituo 12 vya petrol ⛽️/diesel, hii ni craze
Acha kudanganya. Kutoka sao hill mpaka kinyanambo hata kumi havifiki

Kuna mogas,kangesa,lake oil,ukod oil,cf×2,nfs,oryx na camel oil.

Halafu vituo hivyo tu vinategemewa na machines zote za uzalishaji wa mbao mufindi kaskazini yote. Vijiji vyote vya mufindi kaskazini wakazi wake wote wanategemea hivyo vituo pekee
 
Acha kudanganya. Kutoka sao hill mpaka kinyanambo hata kumi havifiki

Kuna mogas,kangesa,lake oil,ukod oil,cf×2,nfs,oryx na camel oil.

Halafu vituo hivyo tu vinategemewa na machines zote za uzalishaji wa mbao mufindi kaskazini yote. Vijiji vyote vya mufindi kaskazini wakazi wake wote wanategemea hivyo vituo pekee
Udanganyifu gani nimeandika hapo, hesabu wewe mwenyewe vituo vingapi umeviorodhesha hapo!,au hesabu uligonga F?
 
Udanganyifu gani nimeandika hapo, hesabu wewe mwenyewe vituo vingapi umeviorodhesha hapo!,au hesabu uligonga F?
Hapana,nilipata C syo haba.

Angalia na idadi ya watu wanaohudumiwa na hivyo vituo. Mfano wateja wanaojaza mafuta kwenye petrol station ya cf namba mbili pale kinyanambo C yale mafuta yanahudumia watu kwenye barabara yenye urefu wa zaidi kilometers 120 ambapo kuna zaidi ya watu 40k plus
 
M
Yes, kimefunguliwa na kinafanya kazi.
Ndio nimemrekebisha jamaa darling, pale sio Mangumi ni Darajani mwaya.
Mangumi ni pale msikitini…
Hapana sweet,darasani sio pale Kwa kina mose dread? after pale kama unaenda Sane like kituo kinaitwaje?palikuwaga pamezubaa now naona frame mpya na pub Gani sijui
 
M

Hapana sweet,darasani sio pale Kwa kina mose dread? after pale kama unaenda Sane like kituo kinaitwaje?palikuwaga pamezubaa now naona frame mpya na pub Gani sijui
Ni kabla ya pale darling, na ujue ni kabla hujavuka lile jengo wanakoshonea Ezra? Pale ni darajani mwaya.
 
ndo tabata hiyo, viwanja vya wazi vilivyotumika kwa michezo na mazoezi wanauziwa watu wa malorry, barabara wameharibu zote!!
watendaji wa mtaa wapo na wanaona, labda wanahusika....
 
Hii nchi imekuwa ya kiwenda wazimu sana..nadhani kuna mahali serikali imelala fofofo sana...kituko cha mwaka njoo hapa Africana mbezi beach kama unashuka whitesand kama mita 700 utaona kituo kinajengwa Kwenye kiwanja kidogo mfano wa miguu 20 kwa 20..halafu barabara nyembamba na makazi ya watu wamezunguka...kituo kinajengwa kwa kasi ya kufa mtu usiku..yaani wiki hizi mbili kimeisha..
 
Hii nchi imekuwa ya kiwenda wazimu sana..nadhani kuna mahali serikali imelala fofofo sana...kituko cha mwaka njoo hapa Africana mbezi beach kama unashuka whitesand kama mita 700 utaona kituo kinajengwa Kwenye kiwanja kidogo mfano wa miguu 20 kwa 20..halafu barabara nyembamba na makazi ya watu wamezunguka...kituo kinajengwa kwa kasi ya kufa mtu usiku..yaani wiki hizi mbili kimeisha..
Aise

Ova
 
Kule Mikocheni wanakoishi mawaziri na mawaziri wastaafu Slaa aliingilia Kati na kufunga kituo.
Huko tabata si mnakaa wapiga kura tu, suala lenu litafikiriwa mwakani kipindi Cha uchaguzi.
 
Mkúu umechelewa kushangaa. Ulitaniwa usikitike baada ya kifo cha Magufuli
Kuna vitu nchi hii vinafanyika kihuni sana. Hivi nani anatoa kibali kujenga Vituo vya Mafuta bila kujali umbali unaotakiwa wala kuangalia athari kwa makazi ya watu? Pale Baracuda Tabata kuna Vituo vitatu vinajengwa ndani ya eneo moja tena vimekaribiana mno kiasi ambacho unajiuliza kwanini hatua hazichukuliwi kwa wahusika?

Pale kuna Ofisi ya Mtendaji, Diwani na Serikali za Mitaa wanaona kabisa kinachofanyika lakini wamekaa kimya ujenzi unaendelea. Kuna kituo cha Meru kimejengwa chini ya Miezi 3 na kimeanza kazi huku vingine vikiendelea na ujenzi usiozingatia sheria.

Ni muda sasa Waziri Jerry Slaa afike katika eno hilo na kuchukua hatua za haraka kunusuru usalama wa watu na kuangalia wanaohusika kutoa vibali wanavyofanya uhun
 
Back
Top Bottom