Acha kudanganya. Kutoka sao hill mpaka kinyanambo hata kumi havifikiMkuu fanyeni push back,mama wa vichenji alikomaa na RC mpaka kile kituo kikaondolewa, nanyi pia fanyeni push back sio kulalama humu, angalia pale Mafinga, ukitokea Sao Hill hadi Kinanyambo roughly 10km, kuna vituo 12 vya petrol ⛽️/diesel, hii ni craze
Udanganyifu gani nimeandika hapo, hesabu wewe mwenyewe vituo vingapi umeviorodhesha hapo!,au hesabu uligonga F?Acha kudanganya. Kutoka sao hill mpaka kinyanambo hata kumi havifiki
Kuna mogas,kangesa,lake oil,ukod oil,cf×2,nfs,oryx na camel oil.
Halafu vituo hivyo tu vinategemewa na machines zote za uzalishaji wa mbao mufindi kaskazini yote. Vijiji vyote vya mufindi kaskazini wakazi wake wote wanategemea hivyo vituo pekee
Hapana,nilipata C syo haba.Udanganyifu gani nimeandika hapo, hesabu wewe mwenyewe vituo vingapi umeviorodhesha hapo!,au hesabu uligonga F?
Hapana sweet,darasani sio pale Kwa kina mose dread? after pale kama unaenda Sane like kituo kinaitwaje?palikuwaga pamezubaa now naona frame mpya na pub Gani sijuiYes, kimefunguliwa na kinafanya kazi.
Ndio nimemrekebisha jamaa darling, pale sio Mangumi ni Darajani mwaya.
Mangumi ni pale msikitini…
🤣🤣🤣🤣Wanaita videbeWatu wenyewe wanaweka mafuta ya 10,000/- halafu wanataka vituo viwe mbali si mtazimikiwa na magari?!!
Ni kabla ya pale darling, na ujue ni kabla hujavuka lile jengo wanakoshonea Ezra? Pale ni darajani mwaya.M
Hapana sweet,darasani sio pale Kwa kina mose dread? after pale kama unaenda Sane like kituo kinaitwaje?palikuwaga pamezubaa now naona frame mpya na pub Gani sijui
Okay sawasawa...Ni kabla ya pale darling, na ujue ni kabla hujavuka lile jengo wanakoshonea Ezra? Pale ni darajani mwaya.
AiseHii nchi imekuwa ya kiwenda wazimu sana..nadhani kuna mahali serikali imelala fofofo sana...kituko cha mwaka njoo hapa Africana mbezi beach kama unashuka whitesand kama mita 700 utaona kituo kinajengwa Kwenye kiwanja kidogo mfano wa miguu 20 kwa 20..halafu barabara nyembamba na makazi ya watu wamezunguka...kituo kinajengwa kwa kasi ya kufa mtu usiku..yaani wiki hizi mbili kimeisha..
Kwani vikiwa mbali inasaidia nini, si uchawi huu?Watu wenyewe wanaweka mafuta ya 10,000/- halafu wanataka vituo viwe mbali si mtazimikiwa na magari?!!
Kuna vitu nchi hii vinafanyika kihuni sana. Hivi nani anatoa kibali kujenga Vituo vya Mafuta bila kujali umbali unaotakiwa wala kuangalia athari kwa makazi ya watu? Pale Baracuda Tabata kuna Vituo vitatu vinajengwa ndani ya eneo moja tena vimekaribiana mno kiasi ambacho unajiuliza kwanini hatua hazichukuliwi kwa wahusika?
Pale kuna Ofisi ya Mtendaji, Diwani na Serikali za Mitaa wanaona kabisa kinachofanyika lakini wamekaa kimya ujenzi unaendelea. Kuna kituo cha Meru kimejengwa chini ya Miezi 3 na kimeanza kazi huku vingine vikiendelea na ujenzi usiozingatia sheria.
Ni muda sasa Waziri Jerry Slaa afike katika eno hilo na kuchukua hatua za haraka kunusuru usalama wa watu na kuangalia wanaohusika kutoa vibali wanavyofanya uhun
basi hatari sana.Unajua sheria ni umbali gani kati ya kituo na kituo? Hii ni kwa upande mmoja wa barabara.