Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Eeeh ndio tulivyofundishwa na mama zetu, sasa wewe umegundua na maeneo mengine na staili zingine za kupakapaka mafuta ama vipi mkuuINA MAANA WANAUME WOTE MNAPAKA MAFUTA USONI NA MIKONONI TU
JamaniiKuvuta sigara na ulevi je?
Hujagusia haya, bado nywere kwa wadada hunuka akikaa nazo kwa mda mrefu bila kuziosha huku jasho kaali... kunuka kwake huwa km mzoga ulooza.
Halafu liliwe, hamna cha ziada, kazi ya tako kwa akina dada ni tofauti kwa akina kaka, kwa akina kaka ni kazi moja tu kutumika kama siti kuzuia maumivu ya mifupa ya kiuno baasi, kwa akina dada ni mengi mno ndomana hata mafuta linapakwaTeh teh kweli wewe hujakosea kujiita Quinton Canosa yaani umeiva kisanaa ,"tako mwanaume upake mafuta liwe laini "?
Halafu ?
kwani unapaka mafuta usoni ili iwajeYan kila mtu mwanaume kagoma No 9, yan sijui kwanini hampend paka mafuta kwa ujumla, utakuta mwingine kavaa kabisa anapaka mafuta sehemu zinazo onekana tu, tena wengine wanapaka sabuni badala ya mafuta
kwani unapaka mafuta usoni ili iwajeYan kila mtu mwanaume kagoma No 9, yan sijui kwanini hampend paka mafuta kwa ujumla, utakuta mwingine kavaa kabisa anapaka mafuta sehemu zinazo onekana tu, tena wengine wanapaka sabuni badala ya mafuta
Mkuu nitake radhiHuyu jamaa quinton anaonekana anapenda kuwa delicious
Mwili wangu wote unapakwa mafuta kila kona nang'aa kama kitumbua.kwani unapaka mafuta usoni ili iwaje
Nivutie na niwe soft cz am a womankwani unapaka mafuta usoni ili iwaje
hata makalio nayo yanahitaji yawe soft kwa afya yako mwenyewe au mm muongo mkuuNivutie na niwe soft cz am a woman
Ah ah ah its true bt wanaume wamegoma aiseehata makalio nayo yanahitaji yawe soft kwa afya yako mwenyewe au mm muongo mkuu
Kama unafanya kwa afya yako mwenyewe haina shida,shida kama unapaka ili uonekaneAh ah ah its true bt wanaume wamegoma aisee
Walioa wanapakwa na wake zao ingawa hasemi humuKama unafanya kwa afya yako mwenyewe haina shida,shida kama unapaka ili uonekane