[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kitimoto tuleni wote tu kwa umoja. Mbona mambupu ya mbuzi mnakulaga wenyewe na yalivyo matamu vilemnapoelekea mpaka kitimoto mtataka mle peke yenu! sasa hapa ndo vita ya ukanda wa gaza itakapoanza.
Wanashangaza japo na mie nilikuaga mbia wa safari [emoji23][emoji23]. Safari ni tamu basi tuu imekaa kiumeHao vipi hawakushangazi?View attachment 794189View attachment 794193
Mara zote unalipia? Kwa mfano wale washkaji ambao kila weekend mnaonana kuanzia ijumaa. Unalipa siku zote? Mi najua mwanamke ndo analipiwa bill sio mwanaume.Kwamimi siwezi kwenda bar na washikaji halafu kila mtu atoe pesa kivyake hiyo haijakaa powa,kwangu nikienda na washkaji kupata vyombo lazima nilipe huo ndio ubest,ukiona washkaji wameenda bar kila mtu analipa bills kivyake basi jua hao wana urafiki wa mashaka.
Chips Zege hapo una utani,kwa mabachela hicho ndio chakula chake kikuu.
Hayo Mengine yanatia shaka kweli.
sanaa facial appearance yako though umeweka emoj ila inanifanya niwaze mengi sanaaUmenipenda eeeh.
Ni kweli bwana[emoji41]Sio kweli bwana.