Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Aiseee Roho mbaya tupo wengi sana karibu kwenye chamaNa ndo jibu linalostahili aisee ama unamwambia nipo zizini nasubiri kukamua ng'ombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee Roho mbaya tupo wengi sana karibu kwenye chamaNa ndo jibu linalostahili aisee ama unamwambia nipo zizini nasubiri kukamua ng'ombe.
Aisee hilo chama la wana lingenifaa kama ningekuwa jinsia tofauti.😀😀Aiseee Roho mbaya tupo wengi sana karibu kwenye chama
Ahahaha!! Hilo lako Kali sana. Vipi wewe huwa ni me au ke? Tafadhali nipe Jibu zuri best sio kama haya ya Lodi lofa.
Utapita tu ki VIP Maana hii mikato yako, hadi mi katibu nahitaji kwenda seminar tenaAisee hilo chama la wana lingenifaa kama ningekuwa jinsia tofauti.😀😀
Mimi ni KE😛😛
Ndio maana nilikuwa najiuliza kwanini ukiandika tu moyo wangu unaenda mbio kama unaendeshwa na Lewis Hamilton kumbe ni Ke.Mimi ni KE rafiki😛😛
Ndio maana nilikuwa najiuliza kwanini ukiandika tu moyo wangu unaenda mbio kama unaendeshwa na Lewis Hamilton kumbe na Ke.
I love woman...my mother is the woman. That's helps.
Utapita tu ki VIP Maana hii mikato yako, hadi mi katibu nahitaji kwenda seminar tena
Wow! Safi nimeelewa. Nakupendaga na wewe pia.It is good to love your Mom honey.
The Bible says honor thy mother and thy father that it may go well with you and so your days may be long here on earth.
Yaani waenzi mama yako na baba yako ili mambo yako yakuendee sawa na siku zako za kuishi ziongezeke.
Samahani kama nitakuwa nime boogie kidogo katika kitafsiri aya hiyo katika maandiko matakatifu.
Mbishi huyoHalaf huyo muhuni kwenye Avatar ni Konyo kishenzi
Ukilipa wwwe ina maana kuna mtu/watu hawajalipa. Kwa maana hii wewe unalipia wenzio kila siku. Inatakiwa kila mtu apige round, mkimaliza kila mtu anakuwa kajinunulia.Kwamimi siwezi kwenda bar na washikaji halafu kila mtu atoe pesa kivyake hiyo haijakaa powa,kwangu nikienda na washkaji kupata vyombo lazima nilipe huo ndio ubest,ukiona washkaji wameenda bar kila mtu analipa bills kivyake basi jua hao wana urafiki wa mashaka.
Chips Zege hapo una utani,kwa mabachela hicho ndio chakula chake kikuu.
Hayo Mengine yanatia shaka kweli.
Kuna interview moja hivi Salim kikeke alikuwa anafanya akaulizwa kitu gani anakikumbuka akiwa nje ya TanzaniaMwanaume kula chips mayai
Kunywa savana/wine ya St. Anna
Mwanaume kupenda/kuimba nyimbo za taarabu
Mwanaume kulipiwa bill na wanaume wenzake mezani.
Nimeona mkaka anakula chips mayai kanipa mawazo sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unamaliza?!!