Tabia gani hupendi au unapenda ukiwa safarini?

Tabia gani hupendi au unapenda ukiwa safarini?

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Je, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini

Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi. Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone 13. Yaani unakuwa unaona aibu hata kuitoa.

Unakuta kabinti kanajikuta kako busy na Simu kameweka earphone hakatoi ukikakaribisha mhindi unaona kanatoa earphone sikio moja harafu kanajibu "Ahsante stumiagi mimi" na wakati kanaelekea Usukumani


Binafsi hiyo tabia sipendi
 
Napenda kukaa dirishani siku zote nakata siti za dirishani na nna tabia ya kuzurumu watu siti za dirishani.niki kuta mtu kakaa kweny siti yangu nta hakikisha namuomba kistaarabu aki kataa tasubiri ule wakati wa kukojoa akishuka nakaa



Offline
 
Je, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini

Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi,
Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone 13.
Yaani unakuwa unaona aibu hata kuitoa.

Unakuta kabinti kanajikuta kako busy na Simu kameweka earphone hakatoi ukikakaribisha mhindi unaona kanatoa earphone sikio moja harafu kanajibu "Ahsante stumiagi mimi" na wakati kanaelekea Usukumani


Binafsi hiyo tabia sipendi
Usihangaike na vitu vya watu huta kuja kuona kero we kama kitu hutaki fanya kukiepuka tu.
 
Je, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini

Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi,
Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone 13.
Yaani unakuwa unaona aibu hata kuitoa.

Unakuta kabinti kanajikuta kako busy na Simu kameweka earphone hakatoi ukikakaribisha mhindi unaona kanatoa earphone sikio moja harafu kanajibu "Ahsante stumiagi mimi" na wakati kanaelekea Usukumani


Binafsi hiyo tabia sipendi
Pole kwa yaliyokukuta mkuu😆😆
 
Ila Muda mwingine kuna tudada tuna nyodo safarini.
Sometimes ukizitafuta utazipata nyodo zao just try to be calm stay with your things nae astay na vyake.. mi kinachonikera ni kukuta makelele huwa napenda nikisafiri nisafiri na kitabu nijisomee Sasa utakuta wameweka mi muvi ya ajabu ajabu tu!!.. unaenda kwenye gari unawaza ukae na binti mzuri umsemeshe badala ujiwazie wewe utajifanyia nini!!.

Wengine hujikuta tena wanafanya ambayo hawakutaka kufanya labda anajikuta ananunua michakula tu ili kumridhisha binti mara tumbo linaanza kuvuruga..🤣
 
Kuna kamoja kalinitapikia Kuanzia mbezi hadi mutukula.
Yaani kanatapika alafu kanaagiza tena mavitu barabarani.

kakilala kakiamka " Baba tumeshafika Bukoba?' wakati tuko mdaula
🤣🤣🤣 hapo ndipo tabu sasa.
 
Back
Top Bottom