Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Ukiona mtu wa hivyo unampotezea tu unakua busy na yakoShukurani mkuu 🙏🙏🙏
Muda mwingine hua wanazingua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona mtu wa hivyo unampotezea tu unakua busy na yakoShukurani mkuu 🙏🙏🙏
Muda mwingine hua wanazingua sana
Dirishani kuna raha yakeHata mimi dirishani hunibandui nisipo kaa dirishani safari hainogi
Hapo ukipenda showoff kwa binti ndipo kisanga huja na kuaibika kwa juu.Sometimes ukizitafuta utazipata nyodo zao just try to be calm stay with your things nae astay na vyake.. mi kinachonikera ni kukuta makelele huwa napenda nikisafiri nisafiri na kitabu nijisomee Sasa utakuta wameweka mi muvi ya ajabu ajabu tu!!.. unaenda kwenye gari unawaza ukae na binti mzuri umsemeshe badala ujiwazie wewe utajifanyia nini!!.
Wengine hujikuta tena wanafanya ambayo hawakutaka kufanya labda anajikuta ananunua michakula tu ili kumridhisha binti mara tumbo linaanza kuvuruga..🤣
Kuna wengine juzi nimepanda nao mwendokasi,,dah kuna mmoja alikuwa ananipayukia sikioni nilitamani hata nimnase kibao.Wewe ni Mimi..
Au mtu anaongea na simu anapayuka gari zima.. Sipendi jamani..
NakaziaNapenda kukaa dirishani siku zote nakata siti za dirishani
Mimi kelele zikizidi huwa naziba masikio huku nikimtolea macho anayepiga hizo kelele.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapo kutana na wasukuma kutoka Morogoro Stori kwa sauti ndio jadi yao.
Ndio waache kujipendekeza😂😂Sometimes ukizitafuta utazipata nyodo zao just try to be calm stay with your things nae astay na vyake.. mi kinachonikera ni kukuta makelele huwa napenda nikisafiri nisafiri na kitabu nijisomee Sasa utakuta wameweka mi muvi ya ajabu ajabu tu!!.. unaenda kwenye gari unawaza ukae na binti mzuri umsemeshe badala ujiwazie wewe utajifanyia nini!!.
Wengine hujikuta tena wanafanya ambayo hawakutaka kufanya labda anajikuta ananunua michakula tu ili kumridhisha binti mara tumbo linaanza kuvuruga..🤣
🤣🤣🤣🤣 Uje unifanyie mimi mbona utacheka tu nikachokifanya hutaweza kuvumilia kucheka..😜Mimi kelele zikizidi huwa naziba masikio huku nikimtolea macho anayepiga hizo kelele.
Kuna watu sijui wapoje yaani.
Hii tabia ndio inayonikera kuliko zote.Hahahaha tabia za wamasai na wasukuma hizo , fulu kuongea kiluga , mmoja mbele mwingine nyuma
Anawaza kutumia matanuzi..😀Tabia nyingine ambayo sipendi ni kukaa na mtu aliyejitanua utadhani siti 2 zote zake.
Mtu amejitanua katikati ya siti 2,badala akalie Moja.
Mtu anaenda kukaa,badala asogee ,anabaki amejitanua hivyohivyo,, Kuna watu sijui hata huwa wanawaza kwa kutumia nini!
Kuna watu wanakera sana safarini.Tabia nyingine ambayo sipendi ni kukaa na mtu aliyejitanua utadhani siti 2 zote zake.
Mtu amejitanua katikati ya siti 2,badala akalie Moja.
Mtu anaenda kukaa,badala asogee ,anabaki amejitanua hivyohivyo,, Kuna watu sijui hata huwa wanawaza kwa kutumia nini!
Sijawahi kufurahishwa na mtu mwenye kelele,hata kama ni comedian kiasi Gani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uje unifanyie mimi mbona utacheka tu nikachokifanya hutaweza kuvumilia kucheka..[emoji12]
Bila kusahau anapenda kununua vitu mnasheaMe napenda nikae seat ya nikae na mkaka HB flani hivi[emoji847][emoji847][emoji23] asiwe mkimya saana cause napenda polojo hatari asiwe na simu nzuri kunizidi na simu yake isiwe inaita mara KWA mara[emoji57][emoji57] na asiwe mweupe cause nyodo sipendi na awe anajali hata kama HATUJUANI ntaenjoy KWA mda tu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Ubinafsi tu hadi kwenye seatAnawaza kutumia matanuzi..[emoji3]
Mi Sina kelele na vituko mpk unizoee..Sijawahi kufurahishwa na mtu mwenye kelele,hata kama ni comedian kiasi Gani.