babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
[emoji847][emoji847]ila suala linakuja kwey namba ya simu nampa ya NIDA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kusahau anapenda kununua vitu mnashea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji847][emoji847]ila suala linakuja kwey namba ya simu nampa ya NIDA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kusahau anapenda kununua vitu mnashea
Anne tununue hata ki IST ili ujitawale uweke humo na kigauni Cha yesu ni mwamba.Ubinafsi tu hadi kwenye seat
Weweee🤣🤣[emoji847][emoji847]ila suala linakuja kwey namba ya simu nampa ya NIDA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi mtu asipokuwa na interest na mimi walahi ye ndo atajutia maana hapo kichwa huanza kuwaza mambo yangu tu!..Ndio waache kujipendekeza😂😂
Kwakweli nitanunua hata passo chakavu nikiokota hela..nijitawale na gauni langu la Yesu ni mwamba.Anne tununue hata ki IST ili ujitawale uweke humo na kigauni Cha yesu ni mwamba.
Na mimi kwenye gari huwa siongei yaani.Mi Sina kelele na vituko mpk unizoee..
Weee unaweza kuta HB harafu taper au jambazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unamkatili sana
Hulka za watu sometimes huwa napenda nikae kwenye public na nisome hulka za watu but sometimes nakuwa niponipo tu..Kwakweli nitanunua hata passo chakavu nikiokota hela..nijitawale na gauni langu la Yesu ni mwamba.
Kwenye usafiri wa umma watu wanakera mno.
Halafu sijui huwa hawashtuki kama wanakera watu[emoji849]
Twende ulaya hakuna zogo kule Wala kubishana na makondaNa mimi kwenye gari huwa siongei yaani.
Tunaweza safiri njia nzima na tusiongee..
Mimi kauzu mno.
Kuna watu sasa,utadhani wamefungiwa mota mdomoni za kupigia watu kelele kwenye magari.
Karibu iendelee hii ni movie tosha...Kwanza nikae kwa dirisha,halafu awepo slay Queen pembeni.Hapo hata awe matawi ya safu za milima Everest Nepal huko,atanikubali tu hizo swagg zangu.Picha linaanza kwanza namlia tinted hamna cha salam wala nini.Ni earpods tu zipo kwa sikio nakula ngoma,pipi classic mojamoja natumia na maji kwa mbaali.Mida ya chai nakunywa,narudi na apples matunda.
Nasema mpaka atanisemesha tu.
Huku nacheza video kwa simu huku nachat,lazima atashangaa tu.Mara niingie Google map nione nipo wapi na jinsi gari ina move.
Atanisemesha tu.
Muda wa lunch ni chips kuku,na Ceres tropical napanda nayo,na redbull na maji kubwa.Hivi navitumia kwa akili sn kidogo kidogo ili visifanye nikojoe kojoe.Atanisemesha tu.
Mara simu yake charg inaisha,anaazima USB achaji anakuta ni ya kitofautiiiii,atanielewa tu.
Saa moja usiku atakuwa hoii,ataanza kunilalia,uchovu hamu ya kiwa holded itamuingia.Hapo ndo namwambia tukifika nikutafutie maji ya moto uoge et ee? Upate na chai nzuri sawa? Hapo ni sawaaaa!
Itaendelea.....
Nichangie basi nikanunue.Hulka za watu sometimes huwa napenda nikae kwenye public na nisome hulka za watu but sometimes nakuwa niponipo tu..
Nunua hata ka jet uwe unapaa hewani tu..[emoji12]
Karibu iendelee hii ni movie tosha...Kwanza nikae kwa dirisha,halafu awepo slay Queen pembeni.Hapo hata awe matawi ya safu za milima Everest Nepal huko,atanikubali tu hizo swagg zangu.Picha linaanza kwanza namlia tinted hamna cha salam wala nini.Ni earpods tu zipo kwa sikio nakula ngoma,pipi classic mojamoja natumia na maji kwa mbaali.Mida ya chai nakunywa,narudi na apples matunda.
Nasema mpaka atanisemesha tu.
Huku nacheza video kwa simu huku nachat,lazima atashangaa tu.Mara niingie Google map nione nipo wapi na jinsi gari ina move.
Atanisemesha tu.
Muda wa lunch ni chips kuku,na Ceres tropical napanda nayo,na redbull na maji kubwa.Hivi navitumia kwa akili sn kidogo kidogo ili visifanye nikojoe kojoe.Atanisemesha tu.
Mara simu yake charg inaisha,anaazima USB achaji anakuta ni ya kitofautiiiii,atanielewa tu.
Saa moja usiku atakuwa hoii,ataanza kunilalia,uchovu hamu ya kiwa holded itamuingia.Hapo ndo namwambia tukifika nikutafutie maji ya moto uoge et ee? Upate na chai nzuri sawa? Hapo ni sawaaaa!
Itaendelea.....
Kachangamshe mizimu utakaa nasi siku moja..😜Nikiingia kwenye usafiri wa umma huwa nakua busy na simu. Yani hata kama unaniongelesha utajushtukia tu mwenyewe utaacha.
Sipendi mazoea kwenye gari. Natamanigi nikae na mkaka mzuri anaevutia ila haijawahi tokea [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app