Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
๐๐๐๐Ka nshomile hako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Ka nshomile hako
Kinachonicost siangaliagi watu. Naweza panda bus Dar Dodoma na nisimjue alokaa pembeni yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ipo siku utamubahatisha tu.
Redio tena mmmh nimekosea njia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ni wewe hongera sana mwamba.sasa kile kiredio kilichokuwa kinaongea sana ndo mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka kindezi mno aiseh ๐คฃ๐คฃ๐คฃKuna kamoja kalinitapikia Kuanzia mbezi hadi mutukula.
Yaani kanatapika alafu kanaagiza tena mavitu barabarani.
kakilala kakiamka " Baba tumeshafika Bukoba?' wakati tuko mdaula
Hahahahaaa. Mi naonaga hawapandagi wale natakaga. Wanapanda kawaida tu au nakutana na wababaKuna siku nilipanda bus na mkaka mzuri jamani..halafu haongei sana mbona Safari ilikuwa fupi
Mimi huyo napenda kujitanua kwenye seat na ndio maana sipendi seat ya Dirishani.Tabia nyingine ambayo sipendi ni kukaa na mtu aliyejitanua utadhani siti 2 zote zake.
Mtu amejitanua katikati ya siti 2,badala akalie Moja.
Mtu anaenda kukaa,badala asogee ,anabaki amejitanua hivyohivyo,, Kuna watu sijui hata huwa wanawaza kwa kutumia nini!
Ninauhakika sio wewe mkaka mstaarabu maana angekuwa ni yeye basi hicho kiredio ninachokimaanisha hapo angevunjika mbavu kwa kichekoRedio tena mmmh nimekosea njia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38]bora ujitanue ukiwa umekaa siti isiyo ya dirishani..Mimi huyo napenda kujitanua kwenye seat na ndio maana sipendi seat ya Dirishani.
Napenda nikaa nijinafasi na kuweka nne ni lazima, mara naweka mguu kama nakuna nazi yaani tafrani.
Safari zangu za kila WeekEnd Dom-Dar makonda wa Bus wanajua kabisa kuwa sikai Dirishani.
Kingine napenda kulala safari nzima.
Nalala mara 3, mara kwanza naamka, nalala tena naamka, mara ya tatu nkiamka nakuwa nshafika.
Hapa enyewe nipo kwenye bus na nimeshtuka usingizini ndo nkaandika haya.
Kitu sipendi ni story zozote kwenye Bus
Nikishasalimiana na jirani yangu, then nafunga mkanda alafu nauchapa usingizi wa hela yote.
Kingine sipendi kukaa Dirishani.
Ebu ngoja nirudi kulala..!!
Madame huwa wanapanda ila ukiwataka kwa wingi panda ndege๐๐๐Hahahahaaa. Mi naonaga hawapandagi wale natakaga. Wanapanda kawaida tu au nakutana na wababa
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada nilikaa nae kwenye bus uwiii jamani msukuma yule alijua kunikera na ile miziki yake..nilitamani kushuka nitembee kwa miguu hapo ndo kwanza tulikuwa tunatoka maeneo ya ubungo..nusu nimzabue makonzi
Ndio inavyotakiwa hivyoMi mtu asipokuwa na interest na mimi walahi ye ndo atajutia maana hapo kichwa huanza kuwaza mambo yangu tu!..
Sipendi tabia ya baadhi ya watu kupayuka hovyo kwenye gari utadhani wapo wapi sijui.
Unakuta wamekaa siti tofauti ila wanapiga kelele yaani ni kero mno.
Wewe ni Mimi..
Au mtu anaongea na simu anapayuka gari zima.. Sipendi jamani..
Hata kwenye ndege zetu za ndani siwaonagi eti. Sema nina tabia ya kutoangaliaga watu nahisi ndo inanifanya nisione watuMadame huwa wanapanda ila ukiwataka kwa wingi panda ndege[emoji16][emoji16][emoji16]
Imagine mtakatifu nilikuwa naenda mwanza siku hiyo na hapo kero zilianzia shekilango kufika ubungo zikachachamaa..piga picha hiyo safari ya Mwanza ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธJamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu wenyewe huwa hawafikirii kama wanakera watu.
Narudi Dodoma[emoji38]bora ujitanue ukiwa umekaa siti isiyo ya dirishani..
Mtu yupo Dirishani na anajitanua siti zote 2,,sasa aliyekaa pembeni anataka adondoke???
Kwenye kulala naona upo kama Mimi.
Cha nyongeza kwangu ni kula,,basi Safari nzima huwa nakula na kulala.
Unaelekea Dom au Dar?
Mwee[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Imagine mtakatifu nilikuwa naenda mwanza siku hiyo na hapo kero zilianzia shekilango kufika ubungo zikachachamaa..piga picha hiyo safari ya Mwanza [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Jamani
Sasa anza tabia ya kuanza kuangaza machoHata kwenye ndege zetu za ndani siwaonagi eti. Sema nina tabia ya kutoangaliaga watu nahisi ndo inanifanya nisione watu
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Weekend ukigeuza Dar nicheki dokta.Narudi Dodoma
Mimi huwa nawaambiaga rafiki zangu kuwa nafanya kazi Dodoma naishi Dar.
Manake panda shuka kila WeekEnd sio mchezo.