Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia lala kwa step[emoji1],Mimi huwa najisahau nikilala nashindwa kujicontrol,nakuta nimemuegemea jirani.Usijali mtakatifu Anne.
Nalala ya mwisho hapa nkiamka in sha allah najua nimefika
Kumbe hata kuwatambua hua haunagaKinachonicost siangaliagi watu. Naweza panda bus Dar Dodoma na nisimjue alokaa pembeni yangu
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 unatamani hata kurudishiwa nauli.Sitasahau siku niliyokata tiket siti ya katikati nyuma kabisa usawa wa korido nilikua wa mwisho kuingia ndan ya bus, nilikuta wamama wa 4 wamebanana hatari. asee niliishia kucheka tu, Siti za watu 5 wamekaa watu 4
Siku moja moja omba wakuweke na watu tofauti na hao.Kila nikipanda gari lazima nikae na mwanaume mwenzangu na akiwa mwanamke lazima awe mmama au mzee. Nakereka😅
Sipendi shobo wala stori na mtu nikiwa kwenye safari kila mtu ajue yake
Kuna wengine hua wanabahatika wakiwa kwenye usafiri hivyo ni kutest tu Huenda bahati ni yako siku hiyo.Abiria jirani kutaka kunijua saaana na kuomba namba,, keroo mnatakiwa kujua si mara zote mtu Yuko safari kwa matembezi manake hizi ndo zenye raha, wengine safari ni za majonzi, mahangaiko nk kuuliza uliza habari za mtu Ni kumuongezea mahangaiko na makasiriko
Hii imekaa vizuri kuepuka kujulikana.Udhaifu huo.
Binti akija akute nimekaa akae kimya kimya wala sina habari hata kama tutasafiri masaa 20 i don't care wala simuongeleshi
Aje akae namimi yuko bize na simu yake wala sina habari namuona msukule tu
Tabia inayonikela ni mtu kutaka kunijua nafanya shughuli gani, yaan kutaka kunijua kiundani ni jambo ambalo silipendi kabisa tena kwa mtu tuliyekutana kwa mara ya kwanza.
Nishawahi kudate na mwanamke almost mwaka na tukaachana mpaka leo hajawahi kujua nafanya shughuli gani
AnafananajeKuna siku nilipanda bus na mkaka mzuri jamani..halafu haongei sana mbona Safari ilikuwa fupi
Imekaa vyema sana hiyo1. Kama naendesha gari basi huwa sipendi kutembea mwendo mdogo, kufunga vioo
2. Kama ni usafiri wa basi, treni, boti, meli, ndege huwa sipendi kukaa siti moja na mtu yuko na smell weird, anakula kula hovyo, anauliza uliza maswali au kuongea sana...
Ulimbukeni tuu.... Utazani anako enda hata kula ,Kazi kula ndani ya gari.[emoji58]Tabia ya kula kula ovyo kwenye magari inasababishwa na nini?