Tabia gani hupendi au unapenda ukiwa safarini?

Mara kadhaa nadhani nimesafiri safari ya zaidi masaa 13 bila kuongea neno.

Uwa sili njiani zaidi ya maji niliochanganya k vant.
 
Kuna kamoja kalinitapikia Kuanzia mbezi hadi mutukula.
Yaani kanatapika alafu kanaagiza tena mavitu barabarani.

kakilala kakiamka " Baba tumeshafika Bukoba?' wakati tuko mdaula
Qmmk unaeza kumuomba konda ukae kwenye godoro mbele
 
Mtu anganganie kukuuliza maswali kama huko unapoenda unafikia wapi etc ..
 
[emoji23]safari ni kula
 
Sipendi tabia ya baadhi ya watu kupayuka hovyo kwenye gari utadhani wapo wapi sijui.

Unakuta wamekaa siti tofauti ila wanapiga kelele yaani ni kero mno.
Kuna wale wanaongelea kwa sauti mambo ya nyumbani kwao kwenye bus, wanakera sana

Unakuta mama anamwambia binti wa kazi tunakuja tupo njiani, hakikisha umepika hiki na hiki, halafu mjaze maji kwenye jaba eeh

Jana usiku mlikula nini? Hamjanimiss na wanacheka cheka sana

Mara Baba yenu yupo hapo mumpe simu nimsalimie Mume wangu???

Yaani mambo ya nyumbani kwao wanaongea kwa sauti kama vile yanatuhusu na sisi.

K E R O K U B W A
 
We unakunywa Ceres tropical hii yenye sumu? Huwezi nibabaisha sana sana ntakuona mshamba tu[emoji16][emoji16][emoji38]. Joke mkuu
 
Yaaan alikupa maku just kwa kumsifia?[emoji849][emoji849][emoji849] Huyo demu msengeee
 
Au dereva yaan ni anakuanza ubungo kuomba namba au kukuzoea[emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…