Tabia hii inanikwaza sana wakubwa mnalala tu et?

Tabia hii inanikwaza sana wakubwa mnalala tu et?

Shujaa Nduna

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
599
Reaction score
487
Mliyo na dhamana ya kusimamia vitengo serikali kwanini mnalea uzembe,uwizi wa watumizi wenzenu?Mara nyingi unakuta mtumishi anafika oficini anasaini halafu anafanya kazi kidogo anaenda mtaani kuzurula au kwenye mishe binafsi ndiyo mana nasema uzembe,uwizi mana analipwa na mshahara ambao mi mkulima nimekamuliwa kodi wakati hamalizi muda wa kuwa ofisini,kuna mtendaji hapa mtaani anafanya kazi kijiji jirani lakini sasa wiki ya pili hajaenda ofisini alikoajiriwa wala hayupo likizo huyu mtu ni mtendaji wa mtaa ni mwajiriwa,yani kila siku yupo kwenye ofisi yake ya kushona.Tabia hii hujirudia mara kwa mara na mshahara anapata.Mtu huyu na wengine wa aina yake wezi,wazembe.Natowa wito wawajibishe wazembe kama hawa.Sheria ya ajira iwekwe msisitizo kuwa mtumishi ukikaa home siku kadha hujaenda job kazi huna tena ikibidi hakuna kubaki nyumbani hadi likizo,homa na dharula muhimu tena kwa maandishi.Tofauti na hapo kata mshahara au fukuza.Mbona sionagi mwalimu akakaa nyumbani bila kwenda kazini hata siku mbili bila sababu?
 
Kunywa maji kwanza shujaa...

Washakuskia walamba asali
 
Hakuna kitu watafnya coz mfumo ushaharibiwa humo makazini excuses za kipumbavu yaani unakuta there is a prolonged queue of serving customers still mtu anaomba excuse anaenda kwake who will serve them?.....sikufichi utendaji kazi wa sisi wabongo umejaa majivuno na mazoea haswa serikalini mwaka fulani kuliku na ticha alikuwa hafundishi ila anakwambia msharaha wake uko pale pale ....

Kwa sasa nimeingia ofisi kadhaa na miongoni nilikuwa nafanya kazi , nyingine nilikuwa field na internship, kwa kweli utendaji ni mbovu story kibao hazina tija ..nilikaa section Kuna mdada akija basi kuleta story za nyumbani umbea tu anaweza kuingia saa 3 badala ya saa 2 then saaa sita anaomba ruhusa sijui mwanae kafanyaje ? Na ana watoto watatu kila siku visa
 
Hakuna kitu watafnya coz mfumo ushaharibiwa humo makazini excuses za kipumbavu yaani unakuta there is a prolonged queue of serving customers still mtu anaomba excuse anaenda kwake who will serve them?.....sikufichi utendaji kazi wa sisi wabongo umejaa majivuno na mazoea haswa serikalini mwaka fulani kuliku na ticha alikuwa hafundishi ila anakwambia msharaha wake uko pale pale ....

Kwa sasa nimeingia ofisi kadhaa na miongoni nilikuwa nafanya kazi , nyingine nilikuwa field na internship, kwa kweli utendaji ni mbovu story kibao hazina tija ..nilikaa section Kuna mdada akija basi kuleta story za nyumbani umbea tu anaweza kuingia saa 3 badala ya saa 2 then saaa sita anaomba ruhusa sijui mwanae kafanyaje ? Na ana watoto watatu kila siku visa
wanaojiita wakubwa,waheshimiwa hakuna la kuwaheshimu kwa ujinga huu ndiyo mana maendeleo yanachelewa inanikwaza sana.
 
wanaojiita wakubwa,waheshimiwa hakuna la kuwaheshimu kwa ujinga huu ndiyo mana maendeleo yanachelewa inanikwaza sana.
Wabongo wengi tuna akili za kupata pesa kwa njia rahisi ndo chanzo cha uwizi na shortcut
 
Kiongozi unafahamu Mshahara wa huyo mtendaji au unadhani analipwa mshahara wa milion 3 nini Serikali ikitaka kuzuia uwizi, watumishi kupenda kazi,...nk lazima iboreshe maslahi ya watumishi huyo mtendaji utakuta amekopa sio ajabu anapata mshahara wa elfu 50 baada ya makato tena haibi amejiongeza kwa kushona.
Unawacha kuzungumzia wanaotwaja na CAG wanaochota matrillioni unazungumzia mtendaji anayejishonea
 
Hakuna kitu watafnya coz mfumo ushaharibiwa humo makazini excuses za kipumbavu yaani unakuta there is a prolonged queue of serving customers still mtu anaomba excuse anaenda kwake who will serve them?.....sikufichi utendaji kazi wa sisi wabongo umejaa majivuno na mazoea haswa serikalini mwaka fulani kuliku na ticha alikuwa hafundishi ila anakwambia msharaha wake uko pale pale ....

Kwa sasa nimeingia ofisi kadhaa na miongoni nilikuwa nafanya kazi , nyingine nilikuwa field na internship, kwa kweli utendaji ni mbovu story kibao hazina tija ..nilikaa section Kuna mdada akija basi kuleta story za nyumbani umbea tu anaweza kuingia saa 3 badala ya saa 2 then saaa sita anaomba ruhusa sijui mwanae kafanyaje ? Na ana watoto watatu kila siku visa
Hili ni tatizo Sugu sana, hasa serikalini, na linachangia kwa kiasi kikubwa kuleta umasikini na kurudisha nyuma maendeleo ya nchi. Ndiyo maana kuna mashirika (NGOs mfano za Wamarekani) wana mfumo wa ku track wafanyakazi wake kila wiki kujua umefanya nini na ulikuwa wapi. Tatizo lingine kwenye hii mifumo yetu ni kukosekana kwa mpango kazi unaoonyesha kila mtumishi kwa mwaka mzima atafanya nini, bajeti yake, malengo ya kazi na pia kitengo imara cha Monitoring and evaluation, ambapo kila mwisho wa mwezi tathmini itafanyika kupata mrejesho nini kimefanyika. Watumishi wsnaingia ofisini wanasaini kitabu na kuishia mtaani au unawakuta bize na smartphones au laptops wanachart
 
Kiongozi unafahamu Mshahara wa huyo mtendaji au unadhani analipwa mshahara wa milion 3 nini Serikali ikitaka kuzuia uwizi, watumishi kupenda kazi,...nk lazima iboreshe maslahi ya watumishi huyo mtendaji utakuta amekopa sio ajabu anapata mshahara wa elfu 50 baada ya makato tena haibi amejiongeza kwa kushona.
Unawacha kuzungumzia wanaotwaja na CAG wanaochota matrillioni unazungumzia mtendaji anayejishonea
Acha kutetea uzembe kama huu, kama maslahi madogo basi aache hiyo kazi wengine wafanye. Tusipende kutetea mambo kama haya kwani ndiyo maana mitaani taka taka hazizolewi, panya road hawaishi, barabara hazikarabatiwi, kodi za serikali hazilipwi etc etc
 
Kujituma, kuthamini kazi na kuifanya kwa budii nao ni utamaduni, kuna jamii hazina hup utamaduni hivyo inahitajika nguvu ya ziada
 
Kiongozi unafahamu Mshahara wa huyo mtendaji au unadhani analipwa mshahara wa milion 3 nini Serikali ikitaka kuzuia uwizi, watumishi kupenda kazi,...nk lazima iboreshe maslahi ya watumishi huyo mtendaji utakuta amekopa sio ajabu anapata mshahara wa elfu 50 baada ya makato tena haibi amejiongeza kwa kushona.
Unawacha kuzungumzia wanaotwaja na CAG wanaochota matrillioni unazungumzia mtendaji anayejishonea
Ameajiriwa ndiyo ndoa yake kutumikia ajira.Muda wa ziada akashone kutumia muda vibaya ni wiziii.
 
Kujituma, kuthamini kazi na kuifanya kwa budii nao ni utamaduni, kuna jamii hazina hup utamaduni hivyo inahitajika nguvu ya ziada
mimi nafanya kazi kampuni binafsi lakini muda wote wa kazi na siku zote za kazi nipo kazini,na ninakuwa mbunifu kuiongezea kampuni mapato ili nami nineemeke.Lakini hawa wezi wa muda,hela nk wanakwaza.
 
Acha wivu,kila mmoja ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom