Tabia hii mbaya huyu mtumishi awajibishwe haraka

Tabia hii mbaya huyu mtumishi awajibishwe haraka

Shujaa Nduna

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
599
Reaction score
487
Habari.

Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.

Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.

Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
 
Habari.Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
Bila video haya ni majungu tu
 
Kuombwa namba tu au kuna kingine? Si wakatae kumpa, mnamuonea mapulupulu
 
Wajawazito wanapenda sana kutongozwa kwa taarifa yako, pia kuomba namba na kutongoza sio kosa, huenda jamaa ni mtu wa utani anatumia technique kuwafanya wamama wafurahie huduma yake.
 
Kumbuka wakati wakujifungua yeye ndio anachezea kisimi chake kumchangamsha mkeo vumilia
 
Habari.

Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.

Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.

Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
Sasa mkuu unashtaki hapa kwani ndo LUdewa? hospitali anayofanyia kazi wapo humu? face the wall don't go against it.
 
😂😂 je ikifikia hatua ya ku pv c itakua mtihan sema nin me binafas wife tangu anze clinic namkabidhish kwa doctor wanawake wenzie yeye pia nimtumishi wa afya na nimepanga wakat wa kujifungua pia nimtafutie hospital ya private na pia doctor awe wa kike maana hospt zetu izi kwa kweli madoct weng ni wa mchongo siwamini ata kdg
 
Habari.

Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.

Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.

Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
Punguza wivu Mkuu...mwache wife aende kupimwa mimba na ahudhurie cliniç...lasivyo utamzalisha mwenyewe

Wenzio tulishaumia na hili mpaka tukazoea
 
Back
Top Bottom