Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
Bila video haya ni majungu tuHabari.Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
Sasa mkuu unashtaki hapa kwani ndo LUdewa? hospitali anayofanyia kazi wapo humu? face the wall don't go against it.Habari.
Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.
Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.
Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
We huelewi hapa ni jukwaa la habari na hoja mchanganyiko?Sasa mkuu unashtaki hapa kwani ndo LUdewa? hospitali anayofanyia kazi wapo humu? face the wall don't go against it.
mi cjaowa ila juwa wakati wa kujifunguwa mwanamke hata hisia za mapenzi hana.Kumbuka wakati wakujifungua yeye ndio anachezea kisimi chake kumchangamsha mkeo vumilia
Watamtwanga wakimchoka.Watu wa ludewa wanasemaje??
siyo wamemshindwa sema hakuna aliyemwendea kwa watalam atajuta.Sasa mkuu na uchawi wote wa ludewa mmemshndwa,unafikiri serikali itafanya nin
achana na Hilo lahamu yamapenzi Hana chukua tu picha yakumchezea kisimi harafu ndipo tuzungumze menginemi cjaowa ila juwa wakati wa kujifunguwa mwanamke hata hisia za mapenzi hana.
Punguza wivu Mkuu...mwache wife aende kupimwa mimba na ahudhurie cliniç...lasivyo utamzalisha mwenyeweHabari.
Bila kupoteza muda ndg wanajamvi kwa masikitiko makubwa naandika kwanini serikali inalea baadhi ya watumishi wa afya wa kiume waliyopo kwenye kitengo cha upimaji wajawazito.
Kule wilayani Ludewa mkoa wa Njombe kuna kijana namfahamu kwa jina moja Imma au jina la utani Mapulupulu anatabia mbaya anatongoza na kuomba simu namba kwa wajawazito wakati wa kuwapima,hata akipata gepu wanaosubiri kujifunguwa.
Tabia hii inamuda na analelewa tu pale na watu wengine hawapendi kupeleka wake zao.Idara husika ifatiliye hilo na imdhibiti haraka watu watamchoka watamtwanga.
Hoya😀😀Sasa mkuu na uchawi wote wa ludewa mmemshndwa,unafikiri serikali itafanya nin