Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Nimeghabika kuuona mwendelezo wa kuimbwa kitofauti kwa huu wimbo mtukufu na TUNU ya JMT.
Wiki ya kampeni ya uzinduzi wa huduma wa msaada wa kisheria wa mama Samia hapa Mwanza....
Kinachonishangaza ni kuwa siku unapochezwa mbele ya mh.Rais ,Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kamwe tabia hii MBAYA huioni kwa kutobadilishwa TUNE yake ya asili !
Shime wahusika walifanyie kazi hili kwani hii ni AIBU kubwa ,akina mh.mbunge Nusrat Hanje na kiongozi wa BAVICHA ndugu Mwaipaya walilala korokoroni kwa muda mrefu tu kwa kuuimba wimbo huu mtukufu kitofauti.....
#Mwenyezi Mungu aendelee kulilinda taifa hili tukufu dhidi ya usaliti wa kila namna ,aaamin !
#Taifa kwanza kwa njia yoyote iwayo !
Wiki ya kampeni ya uzinduzi wa huduma wa msaada wa kisheria wa mama Samia hapa Mwanza....
Kinachonishangaza ni kuwa siku unapochezwa mbele ya mh.Rais ,Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kamwe tabia hii MBAYA huioni kwa kutobadilishwa TUNE yake ya asili !
Shime wahusika walifanyie kazi hili kwani hii ni AIBU kubwa ,akina mh.mbunge Nusrat Hanje na kiongozi wa BAVICHA ndugu Mwaipaya walilala korokoroni kwa muda mrefu tu kwa kuuimba wimbo huu mtukufu kitofauti.....
#Mwenyezi Mungu aendelee kulilinda taifa hili tukufu dhidi ya usaliti wa kila namna ,aaamin !
#Taifa kwanza kwa njia yoyote iwayo !