Tabia hizi mbili za Hayati Magufuli zilifuta Mazuri yake Mengi sana, Watanzania kuna la kujifunza hapa

Hilo pimbi lilipitia malezi mabaya ndo maana lilikuwa hivyo

Wazazi tuzingatie kuwapatia watoto wetu malezi mazuri yakujari utu
 
Magufuli alikuwa na tabia tatu kuu mbaya.
1. Mkatili (kuua maadui zake iliona ni haki na sahihi)
2. Mdanganyifu (Uongo ndio iliyokuwa silaha yake kuu ya kuendelea kutawala)
3. Mbinafsi (Alifanya kile tu anachokiamini, kukitaka na kukipenda yeye hata kama ni kinyume cha sheria au utaratibu)

Kwa kifupi sana, Magufuli hakustahili kuongoza watu, hakufaa hata kuongoza kijiji, labda kuongoza shamba lake la mifugo kule Kagera au Chato.
 
Unamkosea sana
 
Ushamba unakuandama.
Hakuna rais bora kama JPM
 
Katiba ingekuwa imara mapema tu angeachia zile ofisi.

Unawaona Afrika Kusini wana Katiba matata sana.
 
Haiwezekani kabisa kabisa kiongozi wa nchi yeyote ile hapa duniani akamridhisha kila mtu. Hata manabii wa Mungu hawakuweza hilo jambo. Lakini......... Magufuli alipitiliza yale mapungufu ya kawaida ya ki-uongozi.
Hii "Lakini" jisemee wewe mwenyewe usituhusishe sisi wananchi wazalendo wa ukweli TZ.
 
Tenda wema wende zako.

RIP MAGUFULI.

Leo DAWASA wanatupa maji Safi ya bomba mara 1 Kwa week 3 ?
Tena wanafungulia saa 8 usiku ili watu wahangaike.

Wakati Magufuli yupo hai maji yalikuwa masaa 24/7.

Yapo mengi ya hovyo yamerudi tena wakati wa Magufuli yalikoma..

LALA SALAMA MWAMBA..

Kifo cha Paka ni Panya pekee ndy watashangilia.
 
Hakuna ukweli wowote, ni ujinga kufikiri kwa kuwa kiongozi hawezi kuwaridhisha watu wote basi hata akina Adolf Hitler, Sani Abacha au Iddi Amin walikuwa sawa tu na viongozi wengine wote.
Kwa ngozi hii inatakiwa Kiongozi mwenye kaliba ya JPM hata zaidi ya mara 100, na nina wasiwasi huenda hii mbegu ndiyo ile iliyong'ang'ana na ubishi kwa Mungu toka Misri kwenda Kanani hadi alipoiangushia nyoka wa ukweli wakang'atwa wakafa sana ndipo walipomkumbuka Mungu na kuomba toba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…