Mnapoteza muda wenu kufuta jina la Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania. Watanzania walimpenda na kumuamini si kwa kejeli na maneno ya kuwasimanga wengine ila kwa utendaji wake uliogusa maisha yao ya kila siku. Kama mnataka kufuta jina lake fanyeni kazi mara mbili zaidi yake wananchi watamsahau na kuimba majina yenu. Bahati mbaya CHADEMA nao wameingia kwenye huo mkumbo!Dikteta lazima asemwe kwa maovu yake
Yesu mwenyewe pamoja na utukufu wake Kuna watu kama wewe walimuona hafai, katika hili siwezi kushangaa kwa sababu huu ni Mtazamo wakoHabari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.
Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.
Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.
2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
Hakuna anayemsema isipokuwa maovu yake ndiyo yanamtafunaMnapoteza muda wenu kufuta jina la Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania. Watanzania walimpenda na kumuamini si kwa kejeli na maneno ya kuwasimanga wengine ila kwa utendaji wake uliogusa maisha yao ya kila siku. Kama mnataka kufuta jina lake fanyeni kazi mara mbili zaidi yake wananchi watamsahau na kuimba majina yenu. Bahati mbaya CHADEMA nao wameingia kwenye huo mkumbo!
Aya, ameshafariki. Bilashaka mnaongozwa na malaika sasa!Alikuwa ni zaidi ya shetani kabisa
Sawa mkuuAya, ameshafariki. Bilashaka mnaongozwa na malaika sasa!
Masikini mna roho mbaya mno.
We mpumbavu kweli fanya yako achana na jiweHabari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.
Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.
Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.
2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
Mfano nani aliingia kwenye 18 zake na alimfanya nini!!?Usiombe ukaingia kwenye 18 zake
Yanamtafuna vipi na hayupo Duniani!!!?? Mbona kama nyinyi ndo mnatafunwa... maana ni kama bado jinamizi lake linawatesa.Hakuna anayemsema isipokuwa maovu yake ndiyo yanamtafuna
Hawata acha licha ya kuonyesha mapungufu yake kidogo na kuacha mengi, kiukweli hauko sahihi kwa kuwa ameacha mengi, sio mawili tu!sema yote!Duh..bado mnamsema tu
UmeelewekaHabari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.
Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.
Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.
2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
Hapa ndio nilimdis kabisa.Mimi nilimshusha tu alipoacha kutupandisha madaraja na kutuongezea mishahara! kwa sababu ya kununua ndege, kujenga flyovers, nk.
Halafu wakati huo huo akapandisha makato ya bodi ya mikopo kutoka 8% mpaka 15%!! Hakika maisha ya watumishi wengi wa umma yalikuwa ni magumu sana wakati wa utawala wake.
Tanzania inahitaji mifumo imara watu wanazaliwa na wanakufa, Ila magufuli alikua diktetaMagufuli ni raisi bora sana kuwahi kutokea mpk kesho nitaendelea kusikitika juu ya kifo chake, nchi hii bado inahitaji raisi mwenye falsafa ya jpm ili kuondoa ujinga .
JPM atabaki kuwa kiongozi bora wa nchi hii baada ya Mwalim J.K
Ingineni mitaani mkawasikie wananchi wanamzungumziaje Magu.
Point namba sita tokea mpaka magufuli na Sasa hivi viongozi wetu hawaionagiNi upotofu wako tu. 1. Alishindwa kuona (wakati asilimia kubwa ya watu tulishaona) kuwa wale watu waliokuwa wanamsifia sana walikuwa wanamsifia kinafiki ili matumbo yao yajae na wale waliokuwa wanamkosoa (ambao alikuwa anawaona ni maadui)walikuwa wanamtakia uongozi bora.
2. Alishindwa kuona madhara ya kuingilia uchaguzi wa bunge na kuweka wabunge vilaza wasio na sifa. Kweli hakujui Nchi inahitaji muhimili wa bunge wenye watu competent?
3. Alikuwa anateua watu wabovu na waovu ili mradi tu wanamsifia na kufukuza wenye akili na hekima kisa wamesema ukweli.
4. Aliamini kwenye kuua watu wenye msimamo kinzani
5. Hakupenda uwazi na uhuru kwenye vyombo vya habari na hata serikali yake ilikuwa inafanya makosa mengi na kuchukuwa mikopo kwa kificho.
6. Alishindwa kuona kuwa hata kama atafanya vizuri namna gani lakini asiwepoweka mfumo wa uongozi madhubuti ni siku akiwa hayupo kila kitu kitarudi kama tulivyokuwa.
Magufuli alikua dikteta hilo liko waziKama sio figisu za uchaguzi 2020 hao wananchi unaotaka waulizwe wangekushangaza.
Watumishi wa umma ni number ndogo sana ya watanzania wote! Ila watanzania walio wengi walimpenda JPM na utawala wake.
IDI Amin alikua rais wa Uganda, Magufuli wa Tanzania huon tu utofautiLini mlipomsema Idd Amin?
Lakini nyinyi kila siku Magufuli mtu aliyemaliza mwendo na kupumzika.
Jililieni nyie na watoto wenu