Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Wasalaam...!
Ni muda mwingine tena natoka kwenye majukumu yangu ya siku na kuingia nyumbani ila mwanamke ananipokea na kunitaarifu kuwa kuna mgeni, rafiki yangu wa zamani kapita kunijulia hali,basi napitia sebuleni...
ile kufika sebuleni namuona rafiki yangu kambeba mtoto wangu na kaingiza mdomo wake kwenye shingo ya mtoto na anakua kama anaitekenya kwa mdomo basi mtoto anachekelea....😅😅
Basi bwana nikampatia hi! Rafiki tukaanza stories za muda mrefu huko nyuma, na kusimliana matukio ya huko nyuma tulipokuwa tunazisaka....
Wakati tukiendelea na story mara amshike mtoto na kumrusha juu sana na kumdaka,mtoto anakuwa kama vile anakakamaa kwa kuwa na hofu ya kudondoka 😟😟😟....
Basi yeye anacheka na kusema "Huyu mtoto wako ni mwoga sana"......mimi najibu kwa tabasamu tu na kuendelea na story.....
Haipiti muda anambeba na kumuelekea yaani uso wake unaangaliana na mtoto huku akiwa amegusanisha paji lake la uso na paji la uso la mtoto huku akisema "Aji.jiji.jiji..iiii......!....Iyoooooooooh...mambo toto..? Anamaliza anampiga busu kwenye paji la uso.....
Daaaah...!..kwa kweli mimi nabaki natabasamu tu ila sikupendezwa na matukio hayo maana mpaka anaondoka mtoto amelowa mate yake (ni watu wanaoongea kwa nguvu kubwa na mate yanaruka).
Sijapendezwa na hii tabia sijui kwa wenzangu labda ni wivu wangu tu...
Hebu tushauriane kuhusu hizi tabia
inaendelea......
Ni muda mwingine tena natoka kwenye majukumu yangu ya siku na kuingia nyumbani ila mwanamke ananipokea na kunitaarifu kuwa kuna mgeni, rafiki yangu wa zamani kapita kunijulia hali,basi napitia sebuleni...
ile kufika sebuleni namuona rafiki yangu kambeba mtoto wangu na kaingiza mdomo wake kwenye shingo ya mtoto na anakua kama anaitekenya kwa mdomo basi mtoto anachekelea....😅😅
Basi bwana nikampatia hi! Rafiki tukaanza stories za muda mrefu huko nyuma, na kusimliana matukio ya huko nyuma tulipokuwa tunazisaka....
Wakati tukiendelea na story mara amshike mtoto na kumrusha juu sana na kumdaka,mtoto anakuwa kama vile anakakamaa kwa kuwa na hofu ya kudondoka 😟😟😟....
Basi yeye anacheka na kusema "Huyu mtoto wako ni mwoga sana"......mimi najibu kwa tabasamu tu na kuendelea na story.....
Haipiti muda anambeba na kumuelekea yaani uso wake unaangaliana na mtoto huku akiwa amegusanisha paji lake la uso na paji la uso la mtoto huku akisema "Aji.jiji.jiji..iiii......!....Iyoooooooooh...mambo toto..? Anamaliza anampiga busu kwenye paji la uso.....
Daaaah...!..kwa kweli mimi nabaki natabasamu tu ila sikupendezwa na matukio hayo maana mpaka anaondoka mtoto amelowa mate yake (ni watu wanaoongea kwa nguvu kubwa na mate yanaruka).
Sijapendezwa na hii tabia sijui kwa wenzangu labda ni wivu wangu tu...
Hebu tushauriane kuhusu hizi tabia
inaendelea......