Tabia mbovu

Hi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
Tutawasakizia mpaka mkome, 😁😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…