Yellow donaty
Senior Member
- Jan 16, 2023
- 113
- 271
Mambo ya ajabu sana na hapo ajaulizwa kisa kaona wanacheka kwenye jukwaa ovyo kabisaNa kusimuliana mambo ya watu....huyu yupo vile na yule yupo na huyu....nashukuru jf inanijenga na kutambua walimwengu tupoje
Shemu kuna nini tena?Na kusimuliana mambo ya watu....huyu yupo vile na yule yupo na huyu....nashukuru jf inanijenga na kutambua walimwengu tupoje
Hapo ni mwendo mdundo,full kubebishana na anyone Ili utabiri wao utimie π₯΄Mambo ya ajabu sana na hapo ajaulizwa kisa kaona wanacheka kwenye jukwaa ovyo kabisa
Na sababu kubwa sijawai elewaHapo ni mwendo mdundo,full kubebishana na anyone Ili utabiri wao utimie π₯΄
Am sorry dogo,niite hata Da Vumy ...jina Shem liisheShemu kuna nini tena?
Ni vile tu tabia tunatofautiana so Lazima tusheeNa sababu kubwa sijawai elewa
PolesanaNa kusimuliana mambo ya watu....huyu yupo vile na yule yupo na huyu....nashukuru jf inanijenga na kutambua walimwengu tupoje
AminaPolesana
Dada mbona kila siku unakuja na new mh watu wa humu wana kutesa akili juu ya mitazamo yao?Am sorry dogo,niite hata Da Vumy ...jina Shem liishe
Nooo,easy y'bro... sema kamada kamenifanya nifunguke kidogoDada mbona kila siku unakuja na new mh watu wa humu wana kutesa akili juu ya mitazamo yao?
Hata mimi sijaelewa na alo andika ni mgeni dahAliyeelewa anifafanulie. Kuna malipo
Tutawasakizia mpaka mkome, ππππππHi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
Sio mgeni huyo new id tu, kikongwe cha 2012 hukoHata mimi sijaelewa na alo andika ni mgeni dah
π€£π€£π€£π€£πTutawasakizia mpaka mkome, ππππππ