Tabia mbovu

Tabia mbovu

Hi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
Tutawasakizia mpaka mkome, 😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom