Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
๐๐๐๐kume kucha kume kuchaaaa
(in mzee majuto's Voice)
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐kume kucha kume kuchaaaa
(in mzee majuto's Voice)
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Ach makuzi sWa kila mda unaleta utanifinya ukuta๐
Hapa tunasubiri tu ayamwage. ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ
yaishe mkuu kabla hayajaanza๐Ach makuzi sWa kila mda unaleta utani
๐คฃ๐คฃ Nawaona Nawaona....em ngoja tuoneHapa tunasubiri tu ayamwage. ๐๐๐
Ww kama unaona kuwa na ndevu ni Mali bas nyoa nunua nyumba uhame kwenuyaishe mkuu kabla hayajaanza๐
๐๐๐Ni kupeana pole ndo kilichobakiKama kawaida umetoa pole ๐ ๐ ๐
Vipi uko mzima ?
Hahahaaa. Lol.๐คฃ๐คฃ Nawaona Nawaona....em ngoja tuone
Umetengeneza mwenyewe๐๐๐Ni kupeana pole ndo kilichobaki
Mm mzima hofu kwako tu
Karibu biscuit wakati tunaendelea kiperuzi๐๐
Hapana nimenunuaUmetengeneza mwenyewe
Nikajua umepikaHapana nimenunua
๐๐๐๐๐๐๐Ni kupeana pole ndo kilichobaki
Mm mzima hofu kwako tu
Karibu biscuit wakati tunaendelea kiperuzi๐๐
Napikaga ila hazitoki smooth kama hizo ๐๐Nikajua umepika
Pole mkuuHi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
Kushukuru kama ukopoa๐๐๐๐
Asante sana. Naendelea vizuri bila hofu kabisa
Yes kabisa ๐Kushukuru kama ukopoa
Ahahahah itabid nionjeNapikaga ila hazitoki smooth kama hizo ๐๐
Zinakuwa tamu lakini hazina shape maalumu๐๐๐inabid ukila usiziangalie sana ๐ ๐๐Ahahahah itabid nionje