Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Funga PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni tabia za kipumbavu kwenda kujiongelesha uko pm za watuPole mkuu
Maisha ya mitandaoni ni yale yale ya mtaani. Tofauti pekee hapa unaingia kwa bando.
Mimi sio kisiwa nijitenge kucheka na watuFunga PM
OkyMimi sio kisiwa nijitenge kucheka na watu
Tumbo la Mtized huwa halichaguwi 😂😂😂Zinakuwa tamu lakini hazina shape maalumu😀😀😀inabid ukila usiziangalie sana 😂 😂😂
😀😀😀Ila kweliTumbo la Mtized huwa halichaguwi 😂😂😂
Like Me asubuhi nimekula Biscuits zenye cream na Kahawa, Mchana Wali na Samaki na hapa nakunywa Azam Eneji na usiku sijui hata nakula nini 😂 😂 😂 😂😀😀😀Ila kweli
Chochote kinaenda tu kaka tumbo halina kioo maana tunavokula miguu ya kuku ingekuwa hatari 😀😀😀Like Me asubuhi nimekula Biscuits zenye cream na Kahawa, Mchana Wali na Samaki na hapa nakunywa Azam Eneji na usiku sijui hata nakula nini 😂 😂 😂 😂
Aaah we nae nani?Hi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
Aisee hiyo Mimi imenishinda kabisa na yale mapupu, bora hata nile Mkate na maji tu 😂 😂 😂Chochote kinaenda tu kaka tumbo halina kioo maana tunavokula miguu ya kuku ingekuwa hatari 😀😀😀
😂😂😂😂Ndo siku zake hiz za kutamba ikipita sikukuu mpira unarudi Kwa amapiano 😂😂😂
Yetu macho hahahaaJF ndiyo maana halisi ya mtaa. Kuna kila aina ya vitimbwi humu.
Kuwa makini tu
Usiniletee upuuzi wako nasinaga time na na wanuka mkojo sorryHuyu mbona kama Unique Flower
Dah pole zao ndio zaoHi
Tabia mbovu mtu unaona watu wanacheka vizuri kisa wewe mlipishana kauli una amua kwenda kupandikiza chuki achukiwe sawa atachukiwa baada ya hapo? Acha kwenda pm kwa watu kuongea umbea ili achukiwe mambo kama hayakuhusu achana nayo kabisa
Dah🤣🤣🤣Aisee humu bana kuna watu wanagombana kabisa wananuniana...wanasengenyana kabisa yani mnuno kabisa...nilishangaa..any way JF ni kijiji kina kila aina ya mambo...kuna mitaa ya uswazi na ushuani 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣