Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Mimi viepe nagonga, na nikishika mke wa mtu navunja ndoa siku hiyohiyo!
 
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
wanaume wa dar ni waongo sana ukiacha umbea wakudiscuss maisha ya watu, na uvivu na kupenda kushinda bar lakin ni wazuri kwa kuhonga ha ha ha ha , kukupangishia nyumba nzuri, kukununulia kiwanja au kukujengea sio hatari ila uongo haachi usidhani kama ndio anakupenda, ila pia ni watafutaji hata akiajiriwa lazima akili ichangamke kivyengine, mission town 🙂🙂
 
Mkuu Mshana jr,

Wanaume wa Dar lazima tuwe smart tuwe presentable mbele za watu...

Sisi ndio kioo cha Tanzania

Sasa hatuwezi kuwa na Sura ngumu kama Wanaume wa Bara...haiwezekani
 
sasa mwanaume unatinda nyusi kuliko hata mwanamke na wewe unapaka make up
umbea wote wa mjini na mtandaoni unaujua kuliko hata mkeo
nnachojiuliza,?
maisha yako unayawaza saa ngapi ,?

alafu ikifika jioni unaskia mwanaume anasema aisee maisha magumu kinoma wakati mchana mzima hakuwaza jinsi gani atapunguza ukali wa maisha

badilikeni bana!
 
Hiyo ni coment ya aina ya ushamba ulionao, wapi panauzwa nguo za wasanii pekeake au nguo za wasanii zikoje. Tatizo unaona kwenye TV tu ukija Dar utashangaa sana aina ya mavazi na mivao mbalimbali hii ndiyo karibu sana ujifunze mengi, kumbe mkija mnayoaona mnaandika kwenda kusimulia huko. Mkuu hebu weka picha ya tiketi, ulikuja na basi gani na kurudi basi gani.
 
Naomba kuwa refa hii battle ya wanaUme wa dar vs wanaume wa bara!!atakaeshinda kwa point nying zaidi ya mwenzie ntamtangaza hadharani tar 1 april.....Haya anzeni kumwaga ngumi!
 
dar es salaam kuna shida sana
yani mtu ikiwa aNatoka zake huko kigoma kuingia dar unakuta yuko vizuri acha akae huko dar siku mbili tatu anabadilika kabisa mfano ulio hai ....... OMMY DIMPOZ
 
Umemaliza yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…