Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Wambea kuliko wanawake
 
umesahau wanakula na tambi eti ndo mlo wa mchana
 
Ona sasa wanaume wa Dar, tukiwaambia mnatoka mapovu.
Hivi nyie wanaume wa Bara kuna kipi mmeifanyia hii Tanzania yetu?

Huko kwenu hamna mtu maarufu hata mmoja ndio maana roho zinawauma sisi kuwajadili mastaa wetu wa Dar
 
Mbona unachanganya madawa..Mara wavivu,mara watafutaji na wanajua kuhonga..Lipi ni lipi sasa?
 
Kweli wewe ni mwanaume wa Dar!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…