Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

wanakuja kuwa chuna,kwani mnatoa hela nyingi,halafu shoo nusu saa centa bolti ishakata,uku sisi tunahonga kidogo ila mzigo unao pigwa kinoma...nadhani,unaona ni kwanini wanawakimbilia...pesa zenu,ila wakitaka kukata stimu wanakuja kwetu
Unaongea nini wewe?hebu jaribu kuja na manzi wako apa mjini uone kama hujarudi huko porini peke yako.
 
Wanaendesha vitz.......
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87][/QUOTE
 
Waendelee kuchunga Ng'ombe watuache tufanye yetu.

Juzi tu hapa walikua wananuka kimbuzi mbuzi leo wameanza kuleta dharau.
 
Wanaume wa bara mjifunze kupiga mswaki na kuosha miili yenu mnatia aibu sana,kuna siku nimepanda bus kutoka huko porini kwenu sitakuja kusahau,sikuelewa niliekaa nae ni binadamu au punda kha!
 
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]


Wanapiga bao moko tu hoi

Wana vibamia

Wanalamba midomo kama yule anaejiita dimond na yule dimpoz

Hawana pesa, wanapenda ofa

Ni wavivu sana
 
Mnanuka sana miili yenu muwe mnajisafisha hasa mnapokanyaga ardhi ya dar.


Unajua sababu za kuwa mngese??

Moja ni kuoga kutwa Mara tatu na kutoa ile harufu ya ubeberu

We endelea kujipaka poda uone tukija uko Dar tulimpata demu wako atakuja kukuhadithia alivyo washwa moto mpaka akasikia harufu ya vumbi
 
Tunailisha tanzania nzima.

Wanaume gani mko bize kujadili kuhusu wema sepetu na sijui mama tiffah?
dawa yao ni kuacha kulima viazi ulaya ili wakose viepe vya pilau,masharo baro hawa
Unaongea nini wewe?hebu jaribu kuja na manzi wako apa mjini uone kama hujarudi huko porini peke yako.
ndio,nitamwacha akuchune maana kazi ya kitandani dakika tano nyingi,ila mie two hours na bado jogoo anawika kokoliko...sasa akikutana na urojo urojo wawili kama wewe tayari salio linasoma 500k,akikakaza kama watano kama wewe tayari ana emu,useless kabisa nyie!kazi kunukia vizuri ila mpira mnacheza chini ya kiwango
 
Endeleeni kupiga kelele, juzi juzi tu mtoto wa fresh from bara kanigandia baada ya kumpa dozi, hataki kusikia kuhusu kurudi bara. Na ndio walivyo mademu wa bara.
 
Unajua sababu za kuwa mngese??

Moja ni kuoga kutwa Mara tatu na kutoa ile harufu ya ubeberu

We endelea kujipaka poda uone tukija uko Dar tulimpata demu wako atakuja kukuhadithia alivyo washwa moto mpaka akasikia harufu ya vumbi
ahahaha,mkuu msamehe huyo mkimbia panya road anayeogopa hata buibui
 
hawa "wanaume" kweli noma, badala ya kujibu hoja kiume, wao pointi yao kuu ni "mtoa mada aliingiliwa na mwanaume wa dar"
maneno ya nyimbo za mduara yanawaathiri sana
ila ile ishu ya mji mzima kusimamishwa na vitoto vya chini ya miaka 12 viliaibisha taifa eti panya road....

Umeona eeeh!
Wanalazimisha jambo moja,

Teh teh Panya Road na Watoto wa Mbwa,
Kama nawaona vile pale Catalunya walivyokua wanatambaa maboss na vitambi vyao kisa tu wamesikia kuna Panya Road,
Hahahahaha.
 
Hawa jamaa wa bara wengi ni madomo zege! Nahisi promo yao ni kuongelea wanaume wa Dar…
 
Back
Top Bottom