Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Unajua sababu za kuwa mngese??

Moja ni kuoga kutwa Mara tatu na kutoa ile harufu ya ubeberu

We endelea kujipaka poda uone tukija uko Dar tulimpata demu wako atakuja kukuhadithia alivyo washwa moto mpaka akasikia harufu ya vumbi
Kutoa harufu mbaya na uchafu wa mwili kumbe ni sifa?sikua najua.
 
Ila dada zenu wa mikoani wanatupenda
Hawa jamaa wana kumbukumbu fupi sana! Mademu zao wanatuzimikia alafu nao wanaume wa mkoani wanajia hili.
Ebu kama wa mikoani mmesahau, pitieni huu uzi, mliuweka wenyewe, nafikiri hii ndo sababu kuu kila kukicha tunawaumiza vichwa.

WANAUME WA DAR MNASABABISHA WANAWAKE ZETU WATUBWAGE.

Msiseme hatukuwaambia!
Na kina dada mnaokuja Dar toka mikoani, wanaume wa Dar tunasema ASANTENI KWA KUJA, THANX FOR COMING COMING COMING......,,,,
 
Wanaume wa Dar mnatuangusha bhanaaa,
Ndio kusema mmeshindwa kabisaaaaaaa kujinasua kwenye hizi shutuma.
 
Ila dada zenu wa mikoani wanatupenda
wanapenda ndio,kwa kusababu mnawahi kumaliza,hamuchoshi na mnawalamba kule chini(ptuuu!),halafu mnawadekeza kwa mapenzi ya kene kideo yale ya kifilipino na wanawasifia kwa kuhonga hela nzito nzito,sema tu kwa sasa wanalalamika magufuri kawa haribia soko kwa kuwabania wezi wa pesa za umma!sasa wewe kama unajitoa ufahamu kuwaonga dada zangu wakinyiramba 500k mpaka emu for a five minutes quickie,na kama haitoshi ukimaliza unazimia baada ya mshindo,si hatari hio!sie uku kijijini au wasichana wa kinyaramba mnaowashokokea tunawaonga yebo yebo halafu msaka wa poli la kule chini masaa matatu mpaka 6
Endeleeni kupiga kelele, juzi juzi tu mtoto wa fresh from bara kanigandia baada ya kumpa dozi, hataki kusikia kuhusu kurudi bara. Na ndio walivyo mademu wa bara.
halafu nyie wa town ndio mnaongoza kufa juu ya vifua vya wanawake,kuna yule mmliki wa Linas club Bukoba Mjini na Mwingine Temeke hapa majuzi!Chakula Duni,na kwa kuwa mnapenda sifa kitandani,uku chakula na stamina 0%,mnaishia kunywa viagra zinazo wapeleka kwa Yesu bila kupenda!
 
wanapenda ndio,kwa kusababu mnawahi kumaliza,hamuchoshi na mnawalamba kule chini(ptuuu!),halafu mnawadekeza kwa mapenzi ya kene kideo yale ya kifilipino na wanawasifia kwa kuhonga hela nzito nzito,sema tu kwa sasa wanalalamika magufuri kawa haribia soko kwa kuwabania wezi wa pesa za umma!sasa wewe kama unajitoa ufahamu kuwaonga dada zangu wakinyiramba 500k mpaka emu for a five minutes quickie,na kama haitoshi ukimaliza unazimia baada ya mshindo,si hatari hio!sie uku kijijini au wasichana wa kinyaramba mnaowashokokea tunawaonga yebo yebo halafu msaka wa poli la kule chini masaa matatu mpaka 6

halafu nyie wa town ndio mnaongoza kufa juu ya vifua vya wanawake,kuna yule mmliki wa Linas club Bukoba Mjini na Mwingine Temeke hapa majuzi!Chakula Duni,na kwa kuwa mnapenda sifa kitandani,uku chakula na stamina 0%,mnaishia kunywa viagra zinazo wapeleka kwa Yesu bila kupenda!
Mapenzi si ugomvi...sasa ww ufanya masaa 6 unakuwa umepishana na hela ngap
 
wanapenda ndio,kwa kusababu mnawahi kumaliza,hamuchoshi na mnawalamba kule chini(ptuuu!),halafu mnawadekeza kwa mapenzi ya kene kideo yale ya kifilipino na wanawasifia kwa kuhonga hela nzito nzito,sema tu kwa sasa wanalalamika magufuri kawa haribia soko kwa kuwabania wezi wa pesa za umma!sasa wewe kama unajitoa ufahamu kuwaonga dada zangu wakinyiramba 500k mpaka emu for a five minutes quickie,na kama haitoshi ukimaliza unazimia baada ya mshindo,si hatari hio!sie uku kijijini au wasichana wa kinyaramba mnaowashokokea tunawaonga yebo yebo halafu msaka wa poli la kule chini masaa matatu mpaka 6

halafu nyie wa town ndio mnaongoza kufa juu ya vifua vya wanawake,kuna yule mmliki wa Linas club Bukoba Mjini na Mwingine Temeke hapa majuzi!Chakula Duni,na kwa kuwa mnapenda sifa kitandani,uku chakula na stamina 0%,mnaishia kunywa viagra zinazo wapeleka kwa Yesu bila kupenda!
Huko kubakana si ndo mana ukimwi unawapenda.
 
Naona kila tukiwajadili wasanii wetu mnatutukana mara hatutaki kazi tumekalia umbea sijui, mara tunashinda vijiweni na kwenye ma pool table kumjadili Dai na Wema na Kiba na Zari na Chidi na Le Mutuz na mastaa wengine

Sasa mnachoshindwa kujua ni kuwa hawa wasanii ni public property, tunamaslahi nao kwasababu wanatuhusu tunasikiliza nyimbo zao tunaangalia muvi zao na tunaudhuria Party zao(refer ya Le Akili Kubwaz pale Kempinsky) tuna haki wa kuwa Diss-cuss.

Naomba mtuache na uanaume wetu wa Dar.

Wanaume wa Dar woyee!

Mkuu kaka nia yako ilikuwa ni kuwadharirisha wanaume wa Dar au wa sehemu yyte ile kwa hayo maneno yako,tambua umefeli.

Aibu inakuridia ww mkuu. Japo JF tunatumia ID zisizozakweli,ila tambua mambo tunayoyafanya humu yanatuwakilisha sisi wenyewe.

Mwanaume anayejielewa asingeweza kureply hizi shutuma kama ulivyofanya wewe.

Kusutana ni kwa wanawake,hata majibizano ya aina hii ni kwa wanawake.

Mwanaume kaa kimya,acha waropokaji wajione wajinga.

Siku zinaenda mbele,ila baadhi akili inazidi kuzorota.
 
Pamoja na miguvu yenu kila siku mnaletewa mahindi ya msaada ovyo sana nyie,umeshawahi kuskia dar kuna njaa?
 
urojo, chips, kucha ndefu, uvivu, kuzungumza utajir huku wamepumzika tu hawataki kuchafuka, kuchagua kazi ,vyakula huku hana hata..., kupenda mijimama nakulalamika kila kitu can't stand and decide/do as a man, kupenda kukaa magorofani hata kama ni kwakujiegesha, wote wanapiga story za vyuo vikuu hata kama ni form 4 div 5, kutojua nini wanataka huku duniani, wote wana magar, nyumva, mademu wakali,wameokoka, ni waelewa .

hawa ni wa mkoa gani vile??
 
Mapenzi si ugomvi...sasa ww ufanya masaa 6 unakuwa umepishana na hela ngap
mkuu mkulima kama mimi hapa nilipo sipitwi na hela,hapa sasa hivi hapa kata ya tulya ni msimu wa choroko,debe moja elfu 30,ndani nina debe 100,sasa piga mahesabu ni dolari ngapi,hapo bado nasubiria mtama na alzeti zikomae,nipge hela,halafu nije wanyooshe dada zenu wanaoishia kusuguliwa five minutes only
 
All in all wanaume mliopelekwa porini mkamaliza wiki kadhaa huko mkiwa na akili zenu timamu, na yale mafundisho ya huko mkazingatia. Mkikutana na hawa mabinti zetu ni lazima wawape shkamoo!!!!! haijalishi unaishi wapi! Najaribu tu kuwaza kwa maandishi!
 
mkuu mkulima kama mimi hapa nilipo sipitwi na hela,hapa sasa hivi hapa kata ya tulya ni msimu wa choroko,debe moja elfu 30,ndani nina debe 100,sasa piga mahesabu ni dolari ngapi,hapo bado nasubiria mtama na alzeti zikomae,nipge hela,halafu nije wanyooshe dada zenu wanaoishia kusuguliwa five minutes only
Si unaona akili yako imeishia kwny kilimo tu...hutak kujiongeza
 
Pamoja na miguvu yenu kila siku mnaletewa mahindi ya msaada ovyo sana nyie,umeshawahi kuskia dar kuna njaa?
mkuu nyie dar unajua mnalishwa na nani?sie!sisi vijijini ndie mnaokula jasho letu,sasa baada ya kutushukuru kwa kukulisha na kukuvalisha ili upendeze na uuze sura mtaani,unaanza kejeli,tukisema mazao yasije uko mtakula nini ninyi ambao kufua mnashindwa,kisa msizi vunje kucha zenu zilizo fanyiwa manicure sijui pedicure,mtajua wenyewe uko
 
All in all wanaume mliopelekwa porini mkamaliza wiki kadhaa huko mkiwa na akili zenu timamu, na yale mafundisho ya huko mkazingatia. Mkikutana na hawa mabinti zetu ni lazima wawape shkamoo!!!!! haijalishi unaishi wapi! Najaribu tu kuwaza kwa maandishi!
ni kweli kabisa hiyo ndio jando sasa unaweza kuona tofauti yao na wanaume wa dar ambao wengi wao wametahiriwa na mama zao tena wengine wanadhani wamezaliwa hivyo
 
Back
Top Bottom