Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Unaongea nini wewe?hebu jaribu kuja na manzi wako apa mjini uone kama hujarudi huko porini peke yako.wanakuja kuwa chuna,kwani mnatoa hela nyingi,halafu shoo nusu saa centa bolti ishakata,uku sisi tunahonga kidogo ila mzigo unao pigwa kinoma...nadhani,unaona ni kwanini wanawakimbilia...pesa zenu,ila wakitaka kukata stimu wanakuja kwetu
ningesikitika sana kama ungezalilisha ukoo wanguha haaaaa.....mi siyo wa dar bwana ila najitahidi kuenda etra miles
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87][/QUOTE
Na kashata na kakikombe ka kahawa kwa ajili ya msosi wa usiku usisahau.Baadae nikale mchuzi wa pweza mambo saaafi Dar raha.
hahahaaa kweli hii ndio inaakisi wanaume wa dar walivyowanaume wa Dar katika ubora wao
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
HahahaWanapiga bao moko tu hoi
Wana vibamia
Wanalamba midomo kama yule anaejiita dimond na yule dimpoz
Hawana pesa, wanapenda ofa
Ni wavivu sana
Hewaaaa" barabaraaah.Na kashata na kakikombe ka kahawa kwa ajili ya msosi wa usiku usisahau.
Mnanuka sana miili yenu muwe mnajisafisha hasa mnapokanyaga ardhi ya dar.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jaman khaaaThey are So weird. It is only in dar that men eat chips and drink fanta passion
dawa yao ni kuacha kulima viazi ulaya ili wakose viepe vya pilau,masharo baro hawaTunailisha tanzania nzima.
Wanaume gani mko bize kujadili kuhusu wema sepetu na sijui mama tiffah?
ndio,nitamwacha akuchune maana kazi ya kitandani dakika tano nyingi,ila mie two hours na bado jogoo anawika kokoliko...sasa akikutana na urojo urojo wawili kama wewe tayari salio linasoma 500k,akikakaza kama watano kama wewe tayari ana emu,useless kabisa nyie!kazi kunukia vizuri ila mpira mnacheza chini ya kiwangoUnaongea nini wewe?hebu jaribu kuja na manzi wako apa mjini uone kama hujarudi huko porini peke yako.
ahahaha,mkuu msamehe huyo mkimbia panya road anayeogopa hata buibuiUnajua sababu za kuwa mngese??
Moja ni kuoga kutwa Mara tatu na kutoa ile harufu ya ubeberu
We endelea kujipaka poda uone tukija uko Dar tulimpata demu wako atakuja kukuhadithia alivyo washwa moto mpaka akasikia harufu ya vumbi
ahahaha,mkuu msamehe huyo mkimbia panya road anayeogopa hata buibui
hawa "wanaume" kweli noma, badala ya kujibu hoja kiume, wao pointi yao kuu ni "mtoa mada aliingiliwa na mwanaume wa dar"
maneno ya nyimbo za mduara yanawaathiri sana
ila ile ishu ya mji mzima kusimamishwa na vitoto vya chini ya miaka 12 viliaibisha taifa eti panya road....