Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tatzo wanaweke wanao ongea blabla humu za wanaume wa dar Mar kimoja hoi au mar 30m at least,wengi ni makahba tu! kwa nn mje kulalmika humu nende basi uko walipo km mapenzi matamu sana mkirud mkae kimya.............
Mwanaume kufanya kazi
 
Kumbe na wewe ni mwanaume Wa Dar nilijua tu...
 
Kuna dada kawaanzishia thread analalamika eti nyie dakika tatu tu hoi..
 


Sawa kijana shababi.....mimi nina 10,000 naomba nikushikishe ukuta please.
 
Khee mwanaume wa dar huyooo
Correction please...!!

sio mwanaume wa dar ni mtoto wa kiume wa dar.
Kwa hayo aliyoandika sijaona hata kimoja ambacho mwanaume kamili anapaswa kuchukulia kama kigezo cha kujivunia mbele ya wanaume wengine. Kma ni kutafuta pesa kwa kutumia akili ni akili ipi wanayotumia na kwa kazi ipi!? sababu dar ndio inaongoza kwa kuwa na matapeli wengi sasa utapeli nayo ni kazi ya kujivunia!?

Hawa watoto waliokuzwa na chips zilizokaangiwa mafuta ya transfoma wana tatizo sana kwanzia kwenye bongo zao.
 
Wewe umetendwa n Miji dume shababi ya Dar na bado unaipenda kwajinsi wanavojua kuhonga na ku trick akili yako
 
Ila wengi hamko vizuri kwenye kukandamiza ni pesaambazo mnatafuta bila jasho juwa mnahonga bila ya uchungu na uongo ndio unaowafanya wadada wawapende.

Sio lzm ucopy doc lote ndio ucomment andika kwny space bar chini zumbukuku wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…