Lkn cha ajabu wanakula na kuoga wanaoga,ngoja waje Dar sasa, huku kila kitu pesa tu, hakuna kujuana, ni kutafuta pesa tu, ukija huku kama huna pesa japo ya kukusaidia msosi utajikuta unakuwa bwabwa, maana si umezoea mteremko wa kijijini, maana kijijini unaweza kuamka huna hata jero lakini bado una uhakika wa kula,njoo Dar sasa uone Wanaume tunavyoishi. Afu kuhusu swala la kupiga kimoja,sio kama kupiga 6 hatuwezi....hapana...tunaweza sana sema pale mtu unakuwa unapunguza mzuka tu,lakini mda mwingi akili yako inawaza kutafuta pesa ndo maana ukiona mtu kakimbilia bush kaja kujiuliza kwanza alipokosea,maana huku kila kitu PESA watu tunatumia PESA kama huwezi baki huko huko maana ukija huku utaishia kuuza tiGO