MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Wanatudharau eti kwa sababu tunaogopa panya road, we waache tu siku na wao wakija dar waone moto wa hao vijana mimi sintoingilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume wa dar
nipo mrembo wanguMwanaume wa dar
Wanaume wa Dar wako tofauti kidogo.Hivi ni Dar tu ndo kuna wanaume?
kwa lipi?ukweli mchungu jirekebisheni bana
ndo wanamaanisha hivyoHivi hata sisi ambao tumekua huko mikoani lakini kwa sasa tupo hapa dar ni wanaume wa dar?
Mbona unatokwa sana na povu wewe??Af watu mnavyokomaa sasa wakati kutwa mnataman kuja dar ujinga umewajaa
wewe umezaliwa tandahimba hujawahi hata safiri utajuaje mambo ya dar? au ushabiki tu. Nyangema karibu sana darwanaume wa dar wanakojoa kwenye makopo ya maji wanaogopa kutoka nje kisa panya road duh
mlete mkeoGoli moja chaliii
Niletee mkeo au dadako nikuoneshe wanaume wa dar wakojemkuu unadiriki hadharani kujitaja kwamba wewe ni mwanaume wa Dar?