Mikoani kuna wanaume maskini sana hadi huruma, wanakosa hata mia ya wembe wa kunyoa ndevu. Bora arusha kidoooogo kuna uafadhaliWanafikiri huku kila mtu ana shamba,huku ni kupiga michongo ya pesa mwanzo mwisho,ukikuta shoga ujue huyo kaona maghorofa ya katikati ya jiji kupitia bongo movies akaamua kuja kutoka kijijini ili asafishe macho ndo akaishia kua shoga. Maana huku MWANAUME PESA
wanaona sana, sasa kimyaHahahahaha umetisha! Waulize maisha ya dar akipewa kwa wiki pekee cost zake ataweza?
ni kama vile kusema mambo ya Dar waachie wana Dar wenyeweNdo maana nimecheka sana, kwani kiukweli haina mwenyewe, wenyeji halisi ni wazaramo kama tujuavyo na hawa kwa sasa wamehamishwa hawapo tena dar.
Wanaume wa dar kwa sasa ndo wachaga, wasukuma,wahehe,wahaya, wagogo, wanyakyusa,wamasai,wanyaturu, wamakonde nk. Kibaya zaidi wa mikoani wanapaona dar kama ulaya vile japo kiukweli ni jiji tu la ovyo, so mimi naona ni kamsemo kalicho vuma kwa wakati wake kuwafunga midomo wajuaji
hii ni kweli nilipokua kikazi Dar, nimeishuhudia kesi kwa kijana flani anashutumiwa kukojoa kwenye makopo usiku na kuyatupa kwa majirani!!wanaume wa dar wanakojoa kwenye makopo ya maji wanaogopa kutoka nje kisa panya road duh
Kuna kamsemo kanasema kama hujafika dar wewe bado mshamba...sijui kama kana ukweli, msemo mwingine...ukiishi dar ni zaidi ya chuo utaishi popote tz...nahisi kana ukweli hakani kama vile kusema mambo ya Dar waachie wana Dar wenyewe
kumbe kijana flani. nikajua ni mwanaumehii ni kweli nilipokua kikazi Dar, nimeishuhudia kesi kwa kijana flani anashutumiwa kukojoa kwenye makopo usiku na kuyatupa kwa majirani!!
WANAUME WA DAR BANA.....
huo ndo ukweli wenyewe. wawe wanakuja tu kutalii japo kwa wiki mojaKuna kamsemo kanasema kama hujafika dar wewe bado mshamba...sijui kama kana ukweli, msemo mwingine...ukiishi dar ni zaidi ya chuo utaishi popote tz...nahisi kana ukweli haka
si ndio hao hao?kumbe kijana flani. nikajua ni mwanaume
hao watoto wadogo bado wanasoma shulesi ndio hao hao?
Kama una mke kaka Naomba nije Kuwa houseboy huko kwenu, NIKUSAIDIE KAZI. mkeo ataipenda tu kazi yangu.wengine wamo humu hata ukiwaita kufanya kazi ya u house boy au ulinzi watamiminika wengi tu na ndevu zao.
Wanaume kumi wa Dar panya road mmoja anawatoa kamasi??? LolzWanatudharau eti kwa sababu tunaogopa panya road, we waache tu siku na wao wakija dar waone moto wa hao vijana mimi sintoingilia
Kote wapo mkuu,ila wa Dar kushika rimoti tu ni sheeeeedahHivi ni Dar tu ndo kuna wanaume?
ok, nita ku PM nikupe namba zangu za simu. nitakupa kazi ya kulinda duka, mke wangu hahitaji houseboy, kazi za kiume nyumbani zote nazifanya mimiKama una mke kaka Naomba nije Kuwa houseboy huko kwenu, NIKUSAIDIE KAZI. mkeo ataipenda tu kazi yangu.
Mbona unatokwa sana na povu wewe??
Lkn cha ajabu wanakula na kuoga wanaoga,ngoja waje Dar sasa, huku kila kitu pesa tu, hakuna kujuana, ni kutafuta pesa tu, ukija huku kama huna pesa japo ya kukusaidia msosi utajikuta unakuwa bwabwa, maana si umezoea mteremko wa kijijini, maana kijijini unaweza kuamka huna hata jero lakini bado una uhakika wa kula,njoo Dar sasa uone Wanaume tunavyoishi. Afu kuhusu swala la kupiga kimoja,sio kama kupiga 6 hatuwezi....hapana...tunaweza sana sema pale mtu unakuwa unapunguza mzuka tu,lakini mda mwingi akili yako inawaza kutafuta pesa ndo maana ukiona mtu kakimbilia bush kaja kujiuliza kwanza alipokosea,maana huku kila kitu PESA watu tunatumia PESA kama huwezi baki huko huko maana ukija huku utaishia kuuza tiGOMikoani kuna wanaume maskini sana hadi huruma, wanakosa hata mia ya wembe wa kunyoa ndevu. Bora arusha kidoooogo kuna uafadhali
ha ha haaa umenena vema mkuu. Dar bila akili ya kutafuta pesa unashika ukuta tuLkn cha ajabu wanakula na kuoga wanaoga,ngoja waje Dar sasa, huku kila kitu pesa tu, hakuna kujuana, ni kutafuta pesa tu, ukija huku kama huna pesa japo ya kukusaidia msosi utajikuta unakuwa bwabwa, maana si umezoea mteremko wa kijijini, maana kijijini unaweza kuamka huna hata jero lakini bado una uhakika wa kula,njoo Dar sasa uone Wanaume tunavyoishi. Afu kuhusu swala la kupiga kimoja,sio kama kupiga 6 hatuwezi....hapana...tunaweza sana sema pale mtu unakuwa unapunguza mzuka tu,lakini mda mwingi akili yako inawaza kutafuta pesa ndo maana ukiona mtu kakimbilia bush kaja kujiuliza kwanza alipokosea,maana huku kila kitu PESA watu tunatumia PESA kama huwezi baki huko huko maana ukija huku utaishia kuuza tiGO