Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Si bora hao waliogombea soda? Nyie wanaume wa dar hata hizo soda mngewekewa mezani hamuwezi hata kunyanyua chupa kupeleka mdomoni.Kwani kuna tatizo hapo Mkuu? wewe wa wapi kwanza, usije ukawa ndo wale waliogombania soda za bure za magufuli
Mwenyewe nimecheka sana mkuu,very interesting...Hahaha huu uzi unachekesha sana
Hahahahaaa..... Wanaume wa Dar hawana lolote.Huyo ndo hata kuvunja biscuit hawezi..ila kwa maneno hajambo.
acha propaganda za uongo. jifunze kudanganya basiSi bora hao waliogombea soda? Nyie wanaume wa dar hata hizo soda mngewekewa mezani hamuwezi hata kunyanyua chupa kupeleka mdomoni.
Mkuu ulishawahi kujiuliza kwa nini Soda zimeshuka bei? Ni kwamba zinadumaza akili na wananchi tulivyogundua hilo tumeamua kuzipotezea,ndo maana makampuni mengi sa hv yameamua kushusha bei.Si bora hao waliogombea soda? Nyie wanaume wa dar hata hizo soda mngewekewa mezani hamuwezi hata kunyanyua chupa kupeleka mdomoni.
Tupe mkeo au dadako uoneHahahahaaa..... Wanaume wa Dar hawana lolote.
hahahahahaaaaaambona mkali babu..... ila jipange siku shemeji yako akiichoka kei ya dada yako najua utahama mjini ndio utaelewa tandahimba hakuna tofauti na hapo buguruni malapa alikoolewa dada ako....
Hapana Mkuu, mwambie amruhusu Mkewe aje kutembea aone kama atarudi kwakeTupe mkeo au dadako uone
Hamjui lolote zaidi mnaishia kuomba tigo tu(0714..).Tupe mkeo au dadako uone
Ndo maana wake zenu wakija Dar wanawasalitiHamjui lolote zaidi mnaishia kuomba tigo tu(0714..).
ana miaka kama 32 hivi, kazaliwa hspa, hao hao ndio Dar original sasa, yaani ndio wanaoiwajilisha Dar bila mawaa yoyote..sio watu wazima waliokulia mkoani wakaja dar kufanya kazi hao siohao watoto wadogo bado wanasoma shule
ana matatizo ya akili?ana miaka kama 32 hivi, kazaliwa hspa, hao hao ndio Dar original sasa, yaani ndio wanaoiwajilisha Dar bila mawaa yoyote..sio watu wazima waliokulia mkoani wakaja dar kufanya kazi hao sio
mara sipendagi dona , mara kiepe ndo mpango mzima ..Mwanaume wa dar anaingia anaagiza chips mayai anaacha ugali
unapiga chuma, unaenda shushia na kiepe hapo sijui unakuwa unamaanisha nini ..Njoo dar muone tunavyopiga jimu vifua vipana dar raha sana
Hahaha hahaaaa teh teh... wacha kutuvunja mbavu sisi wanaume wa Dar tuko foleni tumetoka kutafuta pesaWanaume wa Mwanza ,wananuka kwapa hao,yaani ukute kashuka kwenye basi pale ubungo,aisee hilo shati lake linatema utasema beberu kaja,Yaani ,Na wa mtwara na lindi kitu hicho hicho
yupo kawaida tu, sema kalelewa kwa kudekezwa sana, bado anaishi kwa wazaziana matatizo ya akili?