Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Hujamgusa yeyote wewe mbwiga, badala ya kufanya kazi zako unakaa kuchunguza vitambi vya wanaume wenzio. Aibu kwako kwa kudhalilisha uanaume.
Alafu wana tabia ya kutoka mapovu wanapoambiwa ukweli wasioutaka.
 
Unaonekana kama kuna una bifu binafsi na baadhi ya wanaume wa mjini darisalama ili kupata relief ndo umekuja kujipostia thread ya kimbea mbea ungekuwa rijal kama unavyodai ungebaki huko mkoani ila kwa sababu darisalama kuna madili imebidi uje mwenyewe haya wasalimie huko mkoani kwenu
Sina bifu na mtu, naona wanadaresalam mnaniponda kweli, kama kwenu ni vitu vya kawaida poa, kwangu mie ni mshangao.
 
Acha kukariri maisha. Wewe badala utafatilie mambo yako unachunguza. Sasa huoni kama hiyo tabia ya kike. Shwain wewe

Kama vipi njoo uishi dar kabisa
 
Sina bifu na mtu, naona wanadaresalam mnaniponda kweli, kama kwenu ni vitu vya kawaida poa, kwangu mie ni mshangao.

Bora umeondoka,unatumalizia hewa.Nenda kalime,hapa mjini shamba letu ni pesa.Watu kama nyie huwa wanolewa hapa mjini
 
We mwanaume gani unasuta wanaume wenzio?nina wasi wasi we punga,na huku ulikuja kutafuta mpododo
 
Suala la kupanda bajaji kutoka posta-kkoo inategemea uharaka wa mishe na pia hali ya hewa! Sa we una buku na mishe ni ya haraka ukomae juani weeee kisa uonekane wa mkoani?? Huo ni wendawazimu
19. Wanaume wa darisalama wana afya mbovu sababu ya vyakula wanavyokula. Unakuta dume zima linashusha chips na mishkaki miwili na pepsi au soseji mbili na ndizi hadi unashangaa huyu kweli mwanaume rijali au ndo wale mapunga??
 
Ili uwe mwanaume wa Dar ni vigezo vipi unatakiwa kutimiza?
 
Hamna uchunguzi, cha kufanya usikae nyumbani tu, mambo yako wazi wazi, ni macho yako tu!
Natoka saa 11 alfajiri narudi saa 11 ya jioni mkitukuta kwenye vijiwe, mida ya jioni tushatoka kutafuta maisha pale tunadilisha habari, na kupeana uzoefu wa mjini.
 
Umesahau kitu kimoja,chakula chao kikubwa ni chips.Wakati sisi wa mikoani tunakula ugali kila siku
 
Matatizo yakuja mjini alaf umefikia kwa shemeji au ndugu " utaona mapungufu tu hamna cha zaidi
"Wanaume wa dar ndio wanaendesha nchi"
Angalia utashkishwa ukuta watu wahuku sio wazur.
 
Umesahau kitu kimoja,chakula chao kikubwa ni chips.Wakati sisi wa mikoani tunakula ugali kila siku
Mkuu chips huliwa zaidi na watu walio single na sio familia, familli hula siku moja moja tu. Alafu bei chips mishikaki mi 4 ni Tsh.3,500 huko kijijini hii inatosha kunulia kitoweo cha kula familia yenye watu kumi ukishaa ya mjini tafuta na majibu yake.
 
Back
Top Bottom