Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

1.Wanaume wa Dar wako very sexy and romantic, wa mikoani wako very rude, hajakuandaa anataka akuchomeke, ukimwambia sijawa tayari bado, unaambulia vibao na kubakwa juu.

2. Wanaume wa Dar ni wa kisasa, wanajua simu mpya na OS zake, wanajua apps nzuri na namna ya kuzitumia. Wa mikoani wakitaka kununua simu, wanajua neno moja tu Tekno tachi sikikini.

3. Wanaume wa Dsm wanajua gender issues. Ukiwa unaumwa atakwambia usijihangaishe na kupika, kufua etc. Ataleta chakula kutoka huko nje, nguo atapeleka dry cleaner na nyumba atasafisha, wa mkoani atakuamsha na kukuambia hela hiyo mezano, nikirudi nikute nyumba safi na msosi wangu wa udaga uko tayari.

4. Wanaume wa Dsm kusoma ndio mpango mzima, evening classes zinafurika. Watu wanasoma post graduate diplomas, masters na PhD zao, mikoani kusoma unasoma ili iweje. Kazi na kijimradi chako vinakutosheleza

5. Wanaume wa Dsm wana confidence. Mtu anakutongoza huku akikuangalia usoni, anakupa makavu kuwa usitarajie makubwa kutoka kwangu, sina pesa sina kazi, kidogo cha halali nipatacho ndicho chetu. Wa mikoani hatongozi hadi apate hela, hana confidence ya kukufuata akiwa kachacha.

Mengine hebu ongezeni wenyewe.

Jamani mbona Dar tu kwani Pemba kule vipi?
 
1: wanaume wa dar hushinda kwenye vioo wanaume wa mikoani hushinda shambani

2: wanaume wa dar waoga sana wanume wa mikoani majasiri

3: wanaume wa dar wanainflate status zao kwa vitu vya kuazima wanaume wa mikoani wanajikubali

4: wanaume wa dar wanalizwa sana na mapenzi wanaume wa mikoani wanalizwa na kazi

5: wanaume wa dar hula chips kama.......wanaume wa mikoani hula vyakula vya kiume.

6: waume wa dar maisha yao ni ya kuiga na kukariri wanaume wa mikoani ni wabunifu

ntarudi baaaaadae
No 1 mkuu ni hasara tupu hawa yaan wanajivua uhalisia wao wanavaa uhalisia wa kike, unakutana nae kapaka piko kali wengine na kari juu akitokea mbali utazani kabeba SIMTANK kichwani, akitoka kazini sasa mke anajiuliza huyu katoka kazini au DRESSING TABLE marash kwenda mbele matokeo wyf hampokei kwa shauku akijua hajachoka mjifunze kale kaarufu kajasho huwa kanampa hamasa mkeo akuhudumie fasta utokapo kazini sio pesa nying inaishia kwenye kioo,
 
Hivi panya road ni wavulana wa Dsm au wa mikoani?
Kama ni wa Dsm basi hapo tukae kimya, ila kama ni wa mkoani, basi heshoma tele kwetu wanaume wa MIKOANI
Panya road ndo wanaume wa dar es salaaam.
 
1: wanaume wa dar hushinda kwenye vioo wanaume wa mikoani hushinda shambani

2: wanaume wa dar waoga sana wanume wa mikoani majasiri

3: wanaume wa dar wanainflate status zao kwa vitu vya kuazima wanaume wa mikoani wanajikubali

4: wanaume wa dar wanalizwa sana na mapenzi wanaume wa mikoani wanalizwa na kazi

5: wanaume wa dar hula chips kama.......wanaume wa mikoani hula vyakula vya kiume.

6: waume wa dar maisha yao ni ya kuiga na kukariri wanaume wa mikoani ni wabunifu

ntarudi baaaaadae
No 1 mkuu ni hasara tupu hawa yaan wanajivua uhalisia wao wanavaa uhalisia wa kike, unakutana nae kapaka piko kali wengine na kari juu akitokea mbali utazani kabeba SIMTANK kichwani, akitoka kazini sasa mke anajiuliza huyu katoka kazini au DRESSING TABLE marash kwenda mbele matokeo wyf hampokei kwa shauku akijua hajachoka mjifunze kale kaarufu kajasho huwa kanampa hamasa mkeo akuhudumie fasta utokapo kazini sio pesa nying inaishia kwenye kioo,
 
safdi sana MMU inarudi katika heshima yake tiririkeni............msitoe mapovu
ila usisahau tuna FIX sana unaweza ukajiona uko Holiwood wakati tunakupiga fix
 
kabla ya joti msamiati wa mdebwedo sijui ulikuwepo au lah,kama ulikuwepo basi sanaa inatumika kukuza lugha maana hatukulijua hili neno na kama halikuwepi basi ni kweli kiswahili kinakua .
 
Wanaume wa dar katika ubora wao...ndio wanaongoza kwa thread zao za kuchapiwa,vibamia na ukosefu was nguvu za kiume na wengine wanaomba ushauri eti jinsi ya kumrizisha mwanamke kama umelegea kama mtoto wa kike sahau kumridhisha utaishia kulambishwa papuchi kama mbuzi michepuko haitaisha mwanaume mmelegea kila upande
 
Mkuu bila kuanzisha burudan kama hizi utakufa siku si zako,, ukizingatia utumbuaji majibu umegusa kila mtu kwa namna moja au nyingne
Ha ha ha ha nakuelewa sana ndio maana tunaenda sambamba! Vipi mvua hazijaharibu mazao huko?
 
Habari za mchana mabibi na mabwana. Nina uhakika leo wengi mpo nyumbani au mmeenda matembezini kujinafasi na hii sikukuu ya Pasaka. Wengine pia mpo kazini mkipiga kazi.

Sio lengo langu kuongea kuhusu watu hasa wanaume, na sisi vijana wa shoka ambao ni wa "mkoani" kama tunavyoitwa na wana Dar slum SIO HULKA YETU ila kwa sababu ni wanaume wa hapa Tanzania, tunaguswa na kushangazwa na mienendo ya wanaume wa Dar slum.

Baada ya kuwepo Dar Slum kwa muda wa mwezi mmoja nikifuatilia dili langu fulani, hatimaye nilifanikiwa na kurudi mkoani.

Ila ukweli ni kwamba nimeshangazwa sana na wanaume wa Dar. Asilimia 90% wana haya yafuatayo ambayo kwa mwanaume wa kawaida rijari kama sie wa mikoani huwezi tukuta na hizi tabia;

Wanaume wa Dar Slum:

1. Wanawake wao wanalalamika hawawaridhishi kitandani,

2. Wengi wanalia lia tu kila wanapoombwa hela na wapenzi wao, eti wanataka usawa,

3. Wengine wamewekwa ndani na wanawake, yaani wanalelewa.

4. Wana vitambi, yaani unakuta kijana mdogo kabisa na ni mwembamba ila kitambi hicho,

5. Wanatinda nyusi,

6. Nao wanaoshwa kucha za miguuni na wanaume wenzao.

7. Wanalia lia hamna kazi ila wanachagua kazi za kufanya,

8. Unakuta jibaba zima liko juu ya miaka 25 ila linakaa kwa baba na mama au bado ni tegemezi,

9. Wako dhaifu sana, hawana tabia ya kufanya mazoezi ya kuimarisha afya, wakivamiwa makwao ni full kukimbia kuomba misaada kwa majirani ambao nao ni wanaume wale wale, kitu ambacho sisi wanaume wa mikoani kama kuna ishu ya mabavu na busara huwa tunaimaliza kishujaa,

10. Wanaogopa kuja MIKOANI ambako ndo kuna hela,

11. Makaka poa wapo kila kona na wanaume wengine wanaona eti ni kawaida kuwa Mungu aliwaumba hivyo,

12. Wavivu, unakuta yupo ktk basi na kuna foleni yeye anaenda sehemu ambayo ni kama mita 300 toka liliposimama basi ktk foleni ila yuko tayari asubiri hata dk 50 ndani ya basi.

13. Wanaume Wenye magari wanatembea na madumu ya mafuta,

14. Wachafu, Ukienda mahali wanapoishi kwa wale walio mabachelor ni kama zizi la ng'ombe,

15. Wanaume wanakojoa kojoa popote tu barabarani kama mbwa,

16. Kwa wale vijana unakuta kavaa suruali kaweka chini ya makalio na anaona ni sawa tu kuonyesha nje nje nguo yake ya ndani tena chafu,

17. Unakuta wanaume wenye familia jioni wamekaa kwenye kahawa na kashata wanaongea umbea,

18. Etc

Kwa kweli nimeshangazwa sana na hawa wanaume wa Dar, hayo ni baadhi ya mapungufu yao, ila yako mengi sana!

Na jiji lenyewe ni KERO. Isiponyesha mvua ni jua kali, joto foleni na vibaka, ikinyesha mvua ni matope, madimbwi ya maji hadi mjini posta.

Kwa kifupi, wanaume wa Dar Slum mjirekebishe, wanaume hatitakiwi kuwa hivyo! Mtuige sisi wa mkoani.
Taja ww wa mkoa gan coz dar wengi wahamiaj ..
Kingine huku akili nying inatumika kutafut pesa so ukijakutok mkoan alafu ukiwa na tamaa za v2 vya watu lazim utashika ukuta tu........all in all ndo mana kukaitwa bongo ......means lazma utumie akili kutafuta......kama unataka nguvu nenda shamba ukalime
 
Baki tu huko huko mkuu,huku inahitajika akili nyingi competition kubwa.
Mkuu nabaki tu shamba maana ata uku jf naipata habari napata nikitoka shamba napitia jf kidogo kupata habari kwa dunia hii ya tehama hakuna tofauti labda kusuka Na kutoboa pua uku kwetu tumezoea wanawake walikini uko mjini mnaona mengi
 
Back
Top Bottom