AlphaMale_
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 182
- 455
ndio Mfano mm nina mpenzi wangu sasa ni miez mitano simjibu sms wala simpigiSo kampotezea ili ajitafute kimaisha?
Sio mtu wako wa karibu tunajua ni wewe mwenyeweTabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.
Sasa yeye alikua ndio mkee mtarajiwa? kama alikua hit n run?Ni mtu wangu w karibu na hali yake sio nzuri so amedisclose kila kitu ili na sisi tumsaidie tujue uyo bwana kapatwana nini?
Muhusika ni yeye mwenyewe Strong and Fearless hii tabia ya kusakizia matukio binafsi kwa ndugu, jamaa, marafiki na washkaji imekuwa sugu mno kunako JF.Una uhakika gani kama hawakuwa na ugomvi?
Huu uwezo wa kuelezea changamoto za watu kanakwamba mpo kwenye hayo mahusiano, mnaupata wapi?
Binaadamu wote tuna tabia cha kukinai na ubinafsi sasa unapozidisha tabia hizo ndio mambo kama hayo yanayokea mara kuachana mara kusalitiana
Kila kitu jitahidi kiwe na kiasi
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
ndio Mfano mm nina mpenzi wangu sasa ni miez mitano simjibu sms wala simpigi
sometimes i call her nakupiga stories
Na nina Mpenda sana but Mapenz kwang sio kipaumbele kwasasa na yeye ha fit yan hana la kukuambia dhaid ya Hi babes or babe i miss you sijui come see me mara nn siunajua Grls things
I Promised her ntamuoa anipe space kwanza Kumeet physical ni mara chache san
Lakin
kama wew Hamuelewan Miaka mitatu yani anampenzi mpya au hakupend kabsa sema wanawake mnajizimaga data Kwasab Red flag ya break up iko waz sana
Wakati mwingine muwape watu nafasi.Je,kama kuna vitu vizito vinamsumbua au yuko bize na kazi zake? We kutwa Masms na macall kutwa kama jendawazimu.Wapeni watu nafasi ya kupumua nyie wanawake eboo.
Muache usimshauri kwasabu unaweza mwambia amove on and vip jama akimchek waka ya solve? wew si utaonekana chawa? watu walio oga na kulala pamoja bila nguo ugomvi wao unawaacha wenyewe wapambandDuuh Basi ntamshauri my friend a move on tu maana hamna namna
Atafute wakeAjiongeze, jimbo lishachukuliwa.
Au anasubiri hadi atangaziwe ITV?
Si ndio, huyo ashakua wa mwingine sasaAtafute wake
Akishampata wake ndio fujo zitaanza bila kukoma. Sema kupenda usipopendwa kubaya nyie, kusikieni tu kwa wengine.Si ndio, huyo ashakua wa mwingine sasa
Asa mhusika hawezi kula saivi kakonda kisa huyo kijana.Akishampata wake ndio fujo zitaanza bila kukoma. Sema kupenda usipopendwa kubaya nyie, kusikieni tu kwa wengine.
Ale tu maana akikonda anazidi kumpa sababu awezi kuwa na mtu aliekonda kama baskeli.Asa mhusika hawezi kula saivi kakonda kisa huyo kijana.
Bora umpende akupendae kuepuka hizo shida zote
Kutembea barabarani na mtu aliyekondeana na njaa kwa kujitakia + sura imejaa stress, We kuweza?Ale tu maana akikonda anazidi kumpa sababu awezi kuwa na mtu aliekonda kama baskeli.
siwezi bora nitembee mwenyeweKutembea barabarani na mtu aliyekondeana na njaa kwa kujitakia + sura imejaa stress, We kuweza?
🤣🤣🤣 Unaona sasasiwezi bora nitembee mwenyewe
Alafu stress za mapenz ndio zinachakazaga watu mno sijui kwanini🤣🤣🤣 Unaona sasa
Zinachakaza mno, ni ujinga mtupu kuforce mapenzi.Alafu stress za mapenz ndio zinachakazaga watu mno sijui kwanini
Kukataa kuachwa ni tabia mbaya sana.Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.