Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naelewa hayo mkuu mzani wa mahusiano kubalance ni shughuli pevu sometimes ni kujizima data tu ukiwa siriaz sana ni shida.Kwenye mahusiano mara nyingi hamuwezi kua sawa hua Kuna ambae kapenda sana design ya mtoa mada .....sasa Moja akiwa miyeyusho kukawa hamna maelewano yule miyeyusho hachukui mda mrefu mapema tu unashangaa anaenjoy penzi jipya ila ww penda penda sana