Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship

Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship

Bora hata parachichi ntamnunulia! hv ushawahi kutana na mtu huelewi anataka nini? Hela unampa, usafiri unajitahidi hata kama huna gari ila anasafir vzr, kule 6×5 unajitahidi lkn waaaaapi
Ukiona hivyo kuna mawili... it's either huyo mtu ni kipepe hajatulia au hajakupenda so anashindwa kujiachia kwako ndio maana unakua humuelewi.

Mtu wa hivyo unapiga chini fasta maana anakufanyia boya.
 
Ukiona hivyo kuna mawili... it's either huyo mtu ni kipepe hajatulia au hajakupenda so anashindwa kujiachia kwako ndio maana unakua humuelewi.

Mtu wa hivyo unapiga chini fasta maana anakufanyia boya.
Kumbe ee
 
Ukiona hivyo kuna mawili... it's either huyo mtu ni kipepe hajatulia au hajakupenda so anashindwa kujiachia kwako ndio maana unakua humuelewi.

Mtu wa hivyo unapiga chini fasta maana anakufanyia boya.
Ukiwa matured unaweza piga chini ila kama ndo upo ile age ya early 20's unateketea kimya kimya
 
Mimi naamini njia bora na nzuri kwenye mahusiano ni Communications,ukielewa namna bora ya kuzungumza na mwenzako itasolve vingi sana
Sometimes kupiga kimya ndo solution bora na inasolve vingi especially ukiwa na mahusiano na miungu watu aka mrs/mr sikoseagi
 
Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.
Wanawake mnapenda kugongwa sana!
 
Ukiachwa achika

Miaka 3 unapigwa miti tu mtu hakuoi hata sogeza tuishi hamna hukushtuka

Uchumba sugu au?
 
Kwa nini ulazimishe penzi aiseee vjana wa sasa bana hawana maamuzi kabsaa...!!
 
Hatuna sababu, inatokea tu. Wala sio kuwa tunachepuka au tunampenzi mwengine, ni inatokea tu.
 
Back
Top Bottom