Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kabisa asiekupenda achana nae japo sio rahisi ila ni ujinga miaka inakatika bado unaforce kupendwa.Zinachakaza mno, ni ujinga mtupu kuforce mapenzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa asiekupenda achana nae japo sio rahisi ila ni ujinga miaka inakatika bado unaforce kupendwa.Zinachakaza mno, ni ujinga mtupu kuforce mapenzi.
Sio rahisi kivipi na mtu hakutaki? Unakua kama mtoa mada sasaKabisa asiekupenda achana nae japo sio rahisi ila ni ujinga miaka inakatika bado unaforce kupendwa.
sipo kama mtoa mada 3 yrs? Siwezi izo mamboSio rahisi kivipi na mtu hakutaki? Unakua kama mtoa mada sasa
Nilitaka kushangaa ujuesipo kama mtoa mada 3 yrs? Siwezi izo mambo
Usikute muhusika sio kwamba anang'ang'ania mtu ila tangu aachwe mataaa hajapata mtu mwngn ko bado anamkumbuka jamaasipo kama mtoa mada 3 yrs? Siwezi izo mambo
Inashangaza sana 3 yrs mtu bado anamtesekea mtu nadhani atafute daktari wa afya ya akili au nimconect kwa daktariNilitaka kushangaa ujue
Huenda ikawa hivyo ila mada ndio kama inavyosomekaUsikute muhusika sio kwamba anang'ang'ania mtu ila tangu aachwe mataaa hajapata mtu mwngn ko bado anamkumbuka jamaa
Ale vizuri, aoge aingie soko upya.Usikute muhusika sio kwamba anang'ang'ania mtu ila tangu aachwe mataaa hajapata mtu mwngn ko bado anamkumbuka jamaa
NakaziaInashangaza sana 3 yrs mtu bado anamtesekea mtu nadhani atafute daktari wa afya ya akili au nimconect kwa daktari
Utajuaje kama 48yrs shavu zishagoma mng'ao ushapotea Nuru hamna usoni😂Ale vizuri, aoge aingie soko upya.
NakaziaAle vizuri, aoge aingie soko upya.
Aje tumpe daktari wetu wa akili Depal aje amchambe mgonjwa mpaka afe ndio aanze kutoa mbinu za kuishinda hiyo hali 😂Nakazia
Asisahau kupunguza maringo na machaguo, kikubwa awe anapumuaAle vizuri, aoge aingie soko upya.
Atafute wazee wenzake😅Utajuaje kama 48yrs shavu zishagoma mng'ao ushapotea Nuru hamna usoni😂
Kwenye mahusiano mara nyingi hamuwezi kua sawa hua Kuna ambae kapenda sana design ya mtoa mada .....sasa Moja akiwa miyeyusho kukawa hamna maelewano yule miyeyusho hachukui mda mrefu mapema tu unashangaa anaenjoy penzi jipya ila ww penda penda sanaHuenda ikawa hivyo ila mada ndio kama inavyosomeka
🤣🤣 Atamnyoosha vemaAje tumpe daktari wetu wa akili Depal aje amchambe mgonjwa mpaka afe ndio aanze kutoa mbinu za kuishinda hiyo hali 😂
Na kwanini upende sana? Lazima utakua na shida mahaliKwenye mahusiano mara nyingi hamuwezi kua sawa hua Kuna ambae kapenda sana design ya mtoa mada .....sasa Moja akiwa miyeyusho kukawa hamna maelewano yule miyeyusho hachukui mda mrefu mapema tu unashangaa anaenjoy penzi jipya ila ww penda penda sana