Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship

Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship

Daah ni ukweli japo mchungu mkuu yani huyu dem kanikondesha ghafla mkuu usiku nalala kwa tabu sana
Ndo hivo mzee ukitoka hapo hutakaa uumizwe tena na mapenzi, tafuta demu flan mid class ambaye hana mambo mengi
 
Ndo hivo mzee ukitoka hapo hutakaa uumizwe tena na mapenzi, tafuta demu flan mid class ambaye hana mambo mengi
Kuna kipindi nilimwambia tuachane akusema chochote ikakaa kama wiki nikamtafuta akanipiga kizinga cha 60k ili aamini kama nampenda nikachomoa nikaja nikampa 30k akasema usijali ukipata utanipa but naona yeye muda wote ni mtu anaehubili kuhudumiwa tu but hakuna nachofaidi kutoka kwake sometime naamua kabisa kukaa kimya but atakutafuta asubuh anapoamka na usiku wakati wa kulala sasa akishafanya hivyo nashindwa kutokumjibu text zake hivi hapa nifanyeje kumuacha huyu kiumbe coz naona ninazidi kukonda tu usiku silali kila nikikumbuka miuno yake na the way alivyo sex nachoka kabisa
 
Kuna kipindi nilimwambia tuachane akusema chochote ikakaa kama wiki nikamtafuta akanipiga kizinga cha 60k ili aamini kama nampenda nikachomoa nikaja nikampa 30k akasema usijali ukipata utanipa but naona yeye muda wote ni mtu anaehubili kuhudumiwa tu but hakuna nachofaidi kutoka kwake sometime naamua kabisa kukaa kimya but atakutafuta asubuh anapoamka na usiku wakati wa kulala sasa akishafanya hivyo nashindwa kutokumjibu text zake hivi hapa nifanyeje kumuacha huyu kiumbe coz naona ninazidi kukonda tu usiku silali kila nikikumbuka miuno yake na the way alivyo sex nachoka kabisa
Mzigo anakupa?
 
Mzigo anakupa?
Yeah kipindI tumeanza mahusiano alinipa kama mara mbili alikuwa anakuja home but now nikama miez miwili aonyeshi hata dalili yakutaka kuwa pamoja faragha but ukimwambia tutoke twende viwanja kula bata yupo tayari muda wote na nilimkuta kachoka hana kazi now yupo na kazi but hakuna anachozungumzia kwasasa zaidi ya kuhudumiwa tu
 
Yeah kipindI tumeanza mahusiano alinipa sana na mara nyingi alikuwa anakuja home but now nikama miez miwili aonyeshi hata dalili yakutaka kuwa pamoja faragha but ukimwambia tutoke twende viwanja kula bata yupo tayari muda wote na nilimkuta kachoka hana kazi now yupo na kazi but hakuna anachozungumzia kwasasa zaidi ya kuhudumiwa tu
Akitaka hela mtafune afu mpe usihangaike kuwasiliana nae subir akutafute tena akitaka Mshone mpe hela
 
Back
Top Bottom