Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utoto tu. Kwann asiweke ishu bayana. That is cowardness!!.sio immaturity ni kawaida sometimes we move in silent
sometimes we need to be alone Maisha yana change
Me sion kama kuna shida bhana kila mtu ajitafute na maisha
Sio kwenye relationships tu, ukiwa na effective communication skills, utaishi comfortable sanaMimi naamini njia bora na nzuri kwenye mahusiano ni Communications,ukielewa namna bora ya kuzungumza na mwenzako itasolve vingi sana
Kuna mtu wa karibu na mleta mada daktari 😁Abee
Nani anaumwa matatizo ya akili
Kanitext usiku huo huo nikasema dawa imeanza kuingia ila sina mda nae tenasafi sana umekuwa na moyo wa chuma☺️
Kuna mambo ni vigumu sana kujifunza bila kupitia uhalisia😄Kumbe jeuri yote Kuna binti alikunyoosha vilivyo
Hapana sitaki mbichi zile 😂Haujapasha?
Ngoja tumuite hayupo mbaliTumuombeee rafiki wa mtoa mada apate namba zangu nimuoneshe mambo makuu asiyoyajua
Kuna mda unafika kila jambo linakiwa na na mwisho no matter what.Mimi naamini njia bora na nzuri kwenye mahusiano ni Communications,ukielewa namna bora ya kuzungumza na mwenzako itasolve vingi sana
🤣🤣🤣 Acha uzembe kijanaHapana sitaki mbichi zile 😂
Hio hua inatokea kuna wakati hamu ya kuchati chati,kua karibu karibu na Mwanamke inapotea kabisaTabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.
Mimi mamsi wa kwanza kumpenda alijua kuninyoosha, kwangu ndo mara ya kwanza kudate ila yy alishakua mkongwe...... alinipiga matukio hadi Kuna mda nakua kama naumwa hv lkn siumwi usingz hamna mwili Kuna namna hauna nguvu Kuna flavour flan nlipata nliamua kutulia kama mwaka na nusu hv single baada ya hapo kinachoniumiza ni deals za pesa tuKuna mambo ni vigumu sana kujifunza bila kupitia uhalisia
Ku ghost ndo nini?
Mimi pesa ndio sitaki kutoa kizembeBora hata parachichi ntamnunulia! hv ushawahi kutana na mtu huelewi anataka nini? Hela unampa, usafiri unajitahidi hata kama huna gari ila anasafir vzr, kule 6×5 unajitahidi lkn waaaaapi
Tafuta demu hakupendi huyo!Mpaji Mungu hivi inakuaje dem unamuhudumia japo sio kwa 100% but unajitahidi kuhusu kusuka nywele za 30k ni kawaida pocket money kama 49k mpaka 60k ni kawaida lakini, bado anakwambia ujamfanyia kitu cha maana kwanza ukimtumia text za kuonyesha the way unavyompenda huwa ajibu but mpo kwenye mahusiano na mshasex kama mara mbili hv. Ukimuuliza analeta sababu nyingi na anakwambia niwewe ndio uliempenda so jitahidi kutimiza mahitaji yake aijalishi respond yake ipoje but nijitahidi kumuonyesha the way navyompenda kwa vitendo zaidi sio maneno mengi. Halafu akaniambi ni kama yeye alivyowahi kumpenda boy mmoja miaka ya nyuma yeye nduo alikuwa anahangaika kupambania penz mpaka jamaa ampende mwisho wa siku jamaa kapita na 500k zake akalala mbele so namimi nijitahidi kuonyesha upendo kwake wa vitendo bila kuangalia respond yake hivi hii imekaaje?? Halafu dem nampenda kisenge yani na mara nyingi akinitafuta yeye ni kuniomba hela tu.
Daah ni ukweli japo mchungu mkuu yani huyu dem kanikondesha ghafla mkuu usiku nalala kwa tabu sanaTafuta demu hakupendi huyo!