Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Unabanwa haja ukiwa baa au klabu, unaenda ili ujisaidie unafungua mlango lakini haufunguliwi. Baadae anatoka mwanaume na mwanamke.
Hii imekithiri sana hapa Bongo.
Hii imekithiri sana hapa Bongo.