Tabia ya kukodolea macho simu za watu

Ni tatizo la kisaikolojia tu, macho huwa yananasa haraka kwenye kitu chenye mwanga mkali au wa rangi ya kupendeza kuliko vingine.
Hata muda huu hapa unavyosoma, kikitokea kitu chenye mwanga mkali kuliko huu wa kwenye simu ni lazima utakodolea tu.
 
Labda alikuwa mwizi

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
Ma IT Wote Msiokua Rasmi Mnaitwa Huku! Mnaodukua Kwa Macho Mambo Wanayofanya Watu Kwenye Cm Zao Wanapokua Kwenye Kadamnas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…