Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Ni tatizo la kisaikolojia tu, macho huwa yananasa haraka kwenye kitu chenye mwanga mkali au wa rangi ya kupendeza kuliko vingine.
Hata muda huu hapa unavyosoma, kikitokea kitu chenye mwanga mkali kuliko huu wa kwenye simu ni lazima utakodolea tu.
Hata muda huu hapa unavyosoma, kikitokea kitu chenye mwanga mkali kuliko huu wa kwenye simu ni lazima utakodolea tu.