Tabia ya kukurupuka

Tabia ya kukurupuka

Samahani, Wewe ni mfupi?
Itakuwa unapenda kuongea sana.

Jaribu kuanza kupenda kusikiliza kuliko kuongea. Hata kama jambo unalijua na una hakika unalijua. Unaweza kukausha tu mpaka kuwe na uhitaji sana wa ww kuzungumza.

Usiwe aina ya wale hata class kila swali kanyoosha kidole.[emoji23][emoji23]

Sio mfupi….kutokana na kukurupuka huwa sipendi kuongea sana.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Habarini wanajamvi, katika haya maisha kila mtu anatabia zake ambazo kwa namna moja au nyingine zinamsababishia matatizo.Mimi nina tabia ya kukurupuka sana katika kuongea au kufanya maamuzi au kufanya jambo halafu baadae ndo nakuja kugundua nimefanya wrong.

Wanajamvi naamini nyie ni watu wa busara,hivi nawezaje kuacha hii tabia? mimi nikijana umri wangu 25.
Kama umeshajitambua udhaifu wako, sasa hakikisha matukio au mazingira yaliyokuingiza katika matatizo na yanayofanana nayo, ukikutana nayo, uchukue muda wa kuyatafakari, kupata ushauri ikibidi, kabla ya kuchukua maamuzi juu yake.
 
Kweli mkuu,how to go about
Usiwe muongeaji sana jitahidi sana kuwa mkimya, ikiwezekana tafuta hata mtu mmoja unaemuamini kabla ya kuongea au kuamua umuulize bwana hapa kuna situation ipo hivi na mimi naona niamue hivi vp nitakuwa sawa, ila jizuie sana kuongea ongea mostly unapokuwa na panic
 
Tumia akili kabla haujafanya maamuzi iwe kwenye maongezi au matendo, na sio kutumia mihemko kwenye kufanya maamuzi au kuzungumza.
Utafeli sana.
 
Tumia akili kabla haujafanya maamuzi iwe kwenye maongezi au matendo, na sio kutumia mihemko kwenye kufanya maamuzi au kuzungumza.
Utafeli sana.
Kila mara katika kuongea au kutenda,ni njia ipi nzuri ya kutumia kufanikiwa katika hilo?
 
Nilitaka kukurupuka kujibu bila hata kusoma mpaka mwisho
 
Kila mara katika kuongea au kutenda,ni njia ipi nzuri ya kutumia kufanikiwa katika hilo?
Jifunze kuwa msikilizaji au msomaji mzuri kabla ya kuzungumza au kuandika na mfuatiliaji mzuri kabla ya kuanzisha kitu. Bila shaka utafanikiwa katika hilo.
 
Habarini wanajamvi, katika haya maisha kila mtu anatabia zake ambazo kwa namna moja au nyingine zinamsababishia matatizo.Mimi nina tabia ya kukurupuka sana katika kuongea au kufanya maamuzi au kufanya jambo halafu baadae ndo nakuja kugundua nimefanya wrong.

Wanajamvi naamini nyie ni watu wa busara,hivi nawezaje kuacha hii tabia? mimi nikijana umri wangu 25.

Jijengee utaratibu wa ku back off. In heated moments, asses then ndio uchukue hatua. Itakusaidia sana
 
Back
Top Bottom